Tuesday, March 30, 2010

2NITE 2NITE LONDON PEOPLE GET READY 4 AMANI SHOW!!!!......this friday 9th april Amani is perfoming live @club afrique and Saturday 10th bristol for more info pls inbox me!!Thanx to everyone who showed up in Reading show we had a blast!!!u dont wanna miss this one!!!!!!!!!!





  1. HAYA WADAU HUYU NDIE NABII TITO AMBAE ANASEMAA YA KWAMBA POMBE DAWA. IMEMPONYA GONJWA SUGU EMBU MSIKILIZE NABII TITO MDAU KARIBU SANA,




    1. Wadau blashaka kila mtu alikula sikukuu ya pasaka vizuri hasa wadau tukirudi nyuma kidogo kwenye soka chelsea ilibuka na ushindi wa mabao mawili thidi ya Man utd mchezo ambao ulikua mgumu sana kwa kila timu.





    1. AMANI JUST ARRIVED IN THE UK READY FOR 2MORO'S SHOW @ CLUB AMBASSADOR LONDON,BARKING 1G11 8AJ.PEOPLE GET READY WE GON PARTY HAAAAAAARD!!!!






    ALL NATIONS EASTER SUDAY 4TH APRIL 2010



    • WORLD CUP HATA KWA BASI TUTAENDA TU AU SIO WA TANZANIA

    Haya wadau kombe la dunia hiloo bado kama mwezi mmoja unavyo ona kweye picha. ni moja ya Basi kutoka kwa majirani zetu wa kenya likiwa limepambwa kwa ajili ya world cup litakalo kuwa likikata bunga kutoka Nairobi hadi hadi south Africa . haya wenye mabasi bongo habari ndio hiyo,



    • THIS FRIDAY2ndAPRIL AMANI PERFOMING LIVE IN CLUB AMBASSADOR BARKING IG11 8AJ DONTMISSOUTPLS PASS M



    BONGODEEJAYS proudly Presents 2009 MTV MAMA AFRICA BEST FEMALE AWARD WINNER WE BACK THIS TIME EVEN BIGGER....EASTER BANK HOLIDAY. Last time we brought ALI KIBA ... and he absolutely smashed the night.For some of you that remember...it was a memorable event and a Big Success..So now we goin Hard..OH YEH..!.. AMANI MTV MAM...A AFRICA BEST FEMALE AWARD WINNER...performing live from her best tracks and classics like.... TONITE ' BADBOY ' MISSING MY BABY ' TAMANI and many more So make sure your there and tel a friend to tel a friend.. APRIL ... EASTER BANK HOLIDAY.... NO WORK ' NO UNI.......... PAY DAY.......................SO NO EXCUSES' WATSOEVA! Aswel will have after show party on the night with our Resident Dj's playing best in Bong Flava - Genge - R n B - Hip Hop and many more. Entrance £15 all venue all night VENUE : Fri 2nd april club ambassadorig11 8ag barking london Sat3rd april manchester the methodist central hall m1 1jq 4th eastar sunday face club reading rg1 7je sat10th april bristol trinity centre bs2 0nw iNFO - HOTLINE NUMBER 07853482158 DONT MISSOUT!!!!


    1. KLEX DANCEHAII MUSIC IN TANZANIA VIDEO OUT,


    Msanii klex ambae anaimba miondoko ya Dancehall flava hivi sasa anatamba kwa wimbo wake wa Ukinikuta kwenye Tv kama channel o pamoja na channel za hapa bongo hivi sasa klex yupo mbioni kuachia video mpya katika ya mwezi wa nne wadau wote wa Dancehall flava tupo pamoja sana .


Friday, March 19, 2010

World record of the man with biggest boobs
A Chinese farmer has the world's biggest set of man boobs,, say doctors. Busty Guo Feng, 53, is desperately seeking a solution to his massive moobs as they get in the way of his manual work. And fascinated locals queue up at his dairy farm to point and laugh — forcing him to wear a heavy coat at all times, even in hot weather. Mr Feng said: "About ten years ago my chest started to get larger but I didn't think much of it as I was putting on weight all over. "But in the last few years it's become unbearable and I have been from one hospital to the other with nobody able to help me. "I have spent all my money on examinations and tests and am still no nearer a solution — in fact my breasts are now bigger than ever. "I sometimes think the doctors don't want to help me with this because they find me a medical curiosity." Dr Zhang Lilan at the Jinan Chest Hospital in Beijing said he had never seen anything like it in 30 years as a specialist. He said: "The man is in every way male except for his enormous breasts. "He is a farmer and says they are extremely uncomfortable as he has to do a lot of manual work and they get in the way of everything. "We wondered if he had eaten any poisons or contaminants but have found nothing after testing his blood. His genetic material is also normal. It is not a cancer. "It seems to be fatty tissue. The best we can suggest is that it is the biggest case of man boobs ever." Mr Feng is so distressed by his condition, he says he will cut off his moobs himself if no one can help. But doctors say they will not act until they have identified what the problem is.




BONGODEEJAYS proudly Presents 2009 MTV MAMA AFRICA

BEST FEMALE AWARD WINNER


WE BACK THIS TIME EVEN BIGGER....EASTER BANK HOLIDAY.

Last time we brought ALI KIBA ... and he absolutely smashed the night.For some of you that remember...it was a memorable event and a Big Success..So now we goin Hard..OH YEH..!..

AMANI MTV MAMA AFRICA BEST FEMALE AWARD WINNER...performing live from her best tracks and classics like....

TONITE ' BADBOY ' MISSING MY BABY ' TAMANI and many more

So make sure your there and tel a friend to tel a friend.. APRIL ...
EASTER BANK HOLIDAY....
NO WORK ' NO UNI..........
PAY DAY.......................SO NO EXCUSES' WATSOEVA!

Aswel will have after show party on the night with our Resident Dj's playing best in Bong Flava - Genge - R n B - Hip Hop and many more.

Entrance £15 all venue all night

VENUE : Fri 2nd APRILCLUB AMBASSADOR IG11 8AG BARKING RD SAT3rd APRIL MANCHESTER @ THE METHODIST CENTRAL HALL M1 1JQ 4th EASTER SUNDAY READING @ FACE CLUB RED& BLUE ROOM RG1 7JE
SAT10th APRIL BRISTOL TRINITY CENTRE BS2 0NW

iNFO - HOTLINE NUMBER 07853482158

4 SHOWS ONLY DONT MISSOUT!!!!







BONGODEEJAYS proudly Presents 2009 MTV MAMA AFRICA

BEST FEMALE AWARD WINNER


WE BACK THIS TIME EVEN BIGGER....EASTER BANK HOLIDAY.

Last time we brought ALI KIBA ... and he absolutely smashed the night.For some of you that remember...it was a memorable event and a Big Success..So now we goin Hard..OH YEH..!..

AMANI MTV MAM...A AFRICA BEST FEMALE AWARD WINNER...performing live from her best tracks and classics like....

TONITE ' BADBOY ' MISSING MY BABY ' TAMANI and many more

So make sure your there and tel a friend to tel a friend.. APRIL ...
EASTER BANK HOLIDAY....
NO WORK ' NO UNI..........
PAY DAY.......................SO NO EXCUSES' WATSOEVA!

Aswel will have after show party on the night with our Resident Dj's playing best in Bong Flava - Genge - R n B - Hip Hop and many more.

Entrance £15 all venue all night

VENUE : Fri 2nd april club ambassadorig11 8ag barking london Sat3rd april manchester the methodist central hall m1 1jq 4th eastar sunday face club reading rg1 7je
sat10th april bristol trinity centre bs2 0nw

iNFO - HOTLINE NUMBER 07853482158

4 SHOWS ONLY DONT MISSOUT!!!!




VAA VAZI LA RUKA PAMBA POPOTE PALE ULIPO UNAWEZA KUNUNUA PIA AU KAMA UPO NJE YA NCHI UNAWEZA UKANUNUA UKATUMIWAA


Wadau wote wa Ruka pamba hivi sasa Ruka pamba zinapatikana kwa bei ya kukuza mavazi ya Tanzania kama wewe mdau ni mpenzi wa mavazi ya Tanzania basi wasiliana nasi kupitia Email rucawear@gmail.com au piga simu +255715749581 karibuni wote.






BEEZY-WHEN WE RIDE (OFFICIAL VIDEO)













ANGALIA VIDEO MPYA YA JUACALI INAYOITWA ( MIAKA)














SANAA PUB NYUMBA YA SANAA NA DJ MANSOOR





IN PICTURES: UGANDA FIRE



A Ugandan soldier fires in the air to disperse civilians at the debris of the Kasubi Royal Tombs in the outskirts of Uganda's capital Kampala, March 17, 2010. Fire has destroyed much of the Kasubi Tombs in Uganda, the final resting place of royalty and a UNESCO World Heritage Site dating back 150 years, police said on Wednesday. The cause of the blaze which started early on Tuesday night and which consumed the thatched-roof mausoleum and many royal artefacts of the Bugandan kingdom has not been identified. Photo/REUTERS



Monday, March 15, 2010

MSANII MPYA WA MZIKI AINA YA R&B TANZANIA ANAJULIKANA KWA JINA LA ( A.V.I.D) MDAU UNAWEZA UKASIKILIZA KAZI YAKE .






Wadau jioneni ndama huyu aliezaliwa akiwa na miguu sita chini minne mgongoni miwili bilashaka Madakitari wa mifugo Tanzania kama mtabaatika kuiona picha hii unaweza kuchangia kidogo kuhusu ndama huyu.





Kwa mujibu wa Meneja mkazi Aggrey Oriwo wa kampuni la Synovate (Research Reinvented) linaloendesha utafiti wa kibiashara na masoko nchini, sambamba na ukuaji huo pia biashara katika vyombo vya habari zimeshamiri kwa kuongezeka kutokana na makampuni mengi ya kibiashara kufanya matangazo.

Amevitaja vyombo vya televisheni kuongoza kwa shea za biashara kwa 46% vikifuatiwa na redio 40% na magazeti 12% huku makampuni ya mawasiliano yakiongoza kwa kufanya matangazo.

Katika biashara hiyo televisheni ya ITV imeongoza ikifuatiwa na TBC na Chanel 10 katika tatu za mwanzo wakati katika Redio RFA wameshikilia nafasi ya juu wakifuatiwa na Clouds kisha Redio One.

Kwa upande wa makampuni matatu bora yaliyofanya vizuri kwa matangazo (top 3 Spenders 2009) ni pamoja Kampuni la simu za mikononi Tigo 27% wakifuatiwa na Vodacom 19% na Zain 18% huku Tigo wakiongoza pia katika brandi 10 bora kwa 30%, Vodacom 21% na Zain 20%. Makampuni mengine pia yanafuatia baada ya orodha hiyo.




MANI LIVE IN CONCERT UK TOUR LONDON,MANCHESTER,READING,&BRISTOL APRIL 2010 EASTER BANK HOLIDAY W.KEND PARTY PEOPLE GET READY, ITS GOING TO BE CRAZY FOR MORE DEATAILS CONTACT BONGODEEJAYS 07786065519 WATCH THE SPACE!!!!!!






David Beckham set to miss World Cup with injury


David Beckham's chances of playing for England in this summer's World Cup appear to have ended after the midfielder suffered a ruptured Achilles tendon during AC Milan's 1-0 win over Chievo on Sunday.




Maporomoko ya udongo Bududa


Waandishi wetu wa Uganda, Siraj Kalyango na Joshua Mmali walikuwa miongoni mwa waliofika eneo la Bududa mashariki mwa nchi hiyo ambako maporomoko ya udongo yalisababisha vifo vya mamia ya watu. Zifuatazo ni baadhi ya picha kutoka huko.



Sunday, March 7, 2010

ELEPHANT MAN NEW VIDEO 2010 PARTY UP IN HERE .







Ombaomba sasa wacharuka kuhusu manyoya


Ule uvumi wa walemavu wanaoombaomba jijini kuwasababishia madhara watoa msaada umewatokea puani kituo maarufu cha Redio nchini Clouds FM, baada ya kutakiwa kuomba radhi na kubadilisha usemi wao hadi Alhamisi vinginevyo kuswekwa rumande.

Wakizungumza mbele ya vyombo vya habari leo asubuhi katika Ukumbi wa Habari Maelezo Dar es Salaam, wawakilishi wa kikundi cha walemavu jijini wamesema kitendo cha mama aliyempa ombaomba fedha mkono ukaota manyoya Selander Bridge ni uzushi mtupu kwa kuwa hakuna uthibitisho.

Mmoja wa wawakilishi hao Enyimba Robert mkazi wa Temeke amesema kuwa suala hilo lilitiwa chumvi na vyombo vya habari na hakuna ukweli ndani yake, huku wakiwasakama vilivyo Clouds kwamba waliongea sana kuhusu uvumi huu.

Bwana Enyimba ambaye ni baba wa watoto wanne amewataka Clouds wathibitishe kauli hiyo mara moja kwani imewaletea madhara makubwa ikiwemo kukataliwa katika jamii.

Amesema licha ya kupata kejeli kutoka sehemu mbalimbali, Enyimba binafsi amepewa notisi na mwenye nyumba wake Said Hamis, ikimtaka kuondoka kwa madai kuwa wapangaji wenzie wanaogopa kupata manyoya.

Naye Neema R. Masagila mkazi wa Temeke kutoka mjini Morogoro, amesema hadi kufikia Alhamisi ya wiki hii Clouds wanatakiwa wawe wamethibitisha taarifa hiyo au kutangaza upya kufuta kauli hiyo vinginevyo watapelekwa mahakamani.

‘Tunakataliwa kila mahali sasa, majumbani, kwenye daladala, migahawani, na pia kodi zetu za nyumba zimepandishwa kwa sababu ya usemi huu’ ameeleza Masagila

Amesema kwa wakati huu wanaogopa sana suala hili lisije likawa kama la ndugu zetu Albino na hivyo kuitaka jamii kubadili mtazamo wao.

‘kwa ujumla sisi hatuna cha kuwaeleza Watanzania, ila tunataka Clouds wawaambie wananchi mioyo yao huyo mama yuko wapi, na hayo manyoya yako wapi na gari walilosema mbona halipo?’ ameuliza mama huyo

Aidha Bi. Masagila anayeombaomba katika maeneo ya Nyerere Road,naye amekiri kupewa notisi ya kuondoka nyumba aliyopanga, na kukitaka chombo hicho cha habari na wengine waliotangaza uvumi huo kwenda pale Selander Bridge kuthibitisha suala hilo kwa wananchi.




Soko la kahawa Duniani lakua wakulima washauriwa kuongeza bidii kwenye uzalishaji wa kahawa.


Akibainisha hayo kwa Wanahabari hii leo, Mwenyekiti wa Bodi ya Kahawa nchini Pius Ngeze amesema kufuatia mkutano wa Shirika la Kahawa Duniani uliofanyika tarehe 26-28 Feb. mwaka huu nchini Guatemala, uzalishaji wa zao hilo unakumbwa na vikwazo vingi vinavyopunguza uzalishaji. Mkutano huo uliolenga kutathmini maendeleo ya uzalishaji na mwenendo wa soko la zao hilo, umebainisha kasoro zilizopo kuwa ni pamoja na mabadiliko ya tabia nchi, kupanda kwa gharama za uzalishaji, kuwepo biashara ya magendo isiyomnufaisha mkulima pamoja na bei ndogo sokoni miongoni mwa matatizo mengine. Bwana Ngeze ameeleza kuwa kikao hicho kiliazimia kuweka sera za masoko kulinda zao hilo, kuhamasisha unywaji, kuweka mikakati ya kudhibiti changamoto zilizopo na kujipanga zaidi kuongeza uzalishaji. Kadhalika Mwenyekiti wa Bodi hiyo nchini yenye makao yake makuu mkoani Kilimanjaro ameeleza kuwa kufuatia taarifa za kikao hicho, nchi watumiaji zilidai kuhitaji zaidi kahawa na kutaka uzalishaji uongezwe hasa katika masoko mapya ya India na Urusi pia China iliyotajwa kama soko ambalo bado halijafikiwa. Aidha kiongozi huyo amewataka Watanzania kujipanga upya kuliimarisha zao hilo katika wakati ambao Bodi inafanya jitihada kudhibiti biashara haramu ya magendo inayowaumiza wakulima. Pia amewahimiza wananchi kupenda kunywa kahawa kama hatua mojawapo ya kuliinua zao hili na kusema kwa sasa ni 5% ya wananchi wanaokunywa kahawa, wakati Brazil ni 17% huku bei yake kwa sasa ikitajwa kuwa senti 120 za dola kwa ratili.









ANTI-SMOKING ADVICE AT FUNERAL


A life-long smoker has had his dying wish honoured when he had the words "Smoking Killed Me" placed on signs in his hearse. Albert Whittamore, known as Dick, died last month aged 85 after suffering for years from emphysema, a progressive lung condition he blamed on his habit. He wanted the ill-effects of his smoking to act as a warning to others and dictated in his will that the signs be placed inside his hearse as it passed through his home town of Dover in Kent. One of the signs was also placed at Mr Whittamore's graveside, according to his wishes. Paul Sullivan, of Sullivan & Son funeral directors, said: "Although he had reached the age of 85, he had been suffering for a while and wanted to do his bit to warn others about smoking. "He specified that that's what he wanted in his will. We gave it some thought but after a while we decided that that's what he had requested." Mr Whittamore, who ran a small printing business in a shop below his home, was forced to use a motorised wheelchair in his later years as his health faltered. A spokesman for the stop smoking charity Quit said: "We understand Dick had emphysema, which is a lung condition caused by smoking which results in people struggling for breath. "Dick is sending out a strong message to smokers as he doesn't want others to suffer. "Smokers can ring Quitline, 0800 00 22 00, to get advice on how to quit and to pay tribute to Dick."





Patrick Newman msanii wa Kibongo anayefanya muziki wa Gospel ambaye makazi yake ni pale Seattle, Washington nchini Marekani. Yeye si mgeni katika anga za muziki. Kwa muda sasa amekuwa akifanya kazi zake nchini Marekani.









Askofu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zacharia Kakobe kwa mara nyingine tena, amekuwa ngangari kwa kuitunishia Serikali misuli kupinga mradi wa umeme wa msongo mkubwa wa kilo voti 132 wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) usipitishwe mbele ya kanisa.




HIP HOP STAR LIL WAYNE A.K.A WEEZY HISASA JAMAA YUPO JELA KWA KOSA LA KUKUTWA NA SILAHA NDANI. JAMAA KAENDA JELA MWAKA MMOJA MASHABIKI WA LIL WAYNE BONGO MNAONAJE TUKIO HILI !












Tuesday, March 2, 2010


Wadu hii ni kwa ajili ya wale wezi wa wanao endelea kuiba pesa za wateja wa G4S nchini kenya G4S imesema !
..eeeh...wewe hapo kwa computer…...
ati unajidai wewe ni sonko eeehhh!!!........
Na je?, huyo jamaa wa hapo kwenu.....unajua yeye hufanya G4S ??....
Kuna njia moja tu ya kumaliza ufukara,
Andikwa G4S.....
ponyoka na kijisanduku cha pesa.....!!!!!!!!!!
Chanuka! Epuka ufukara.





Beenie Man - "Swagga Mi Flow" Video 2010









Wiki iliyopita Kaka Sunday Shomari alinitaarifu juu ya mkutano / kongamano kuhusu CLEAN WATER FOR AFRICA lilioandaliwa kwa ushirikiano kati ya Harambee International Development na Constituency for Africa ambalo lilifanyika Jumamosi na kuzungumzia meengi kuhusu ufanikishaji wa kusambaza maji safi na salama barani Afrika. Nilibahatika kuhudhuria. Kati ya waliohudhuria kongamano hilo ni Dr Julius Garvey ambaye ni mtoto wa mwisho / kitindamimba wa mpigania haki za watu weusi Hayati Marcus Garvey ambaye pia alianzisha Universal Negro Improvement Association mwaka 1914. Katika kongamano hilo la kwanza kufanyika na ambalo linataraji kuwa la kila mwaka, yalizungumzwa mengi na mwisho wake nikabahatika kupata nafasi ya kuzungumza na Dr Garvey. Nilimuuliza kuhusu

UKOLONI MAMBOLEO UNAOENDESHWA NA WAZALENDO JUU YA WAAFRIKA WENZAO NA KUBWA ALILOSEMA NI KUWA
VIONGOZI WENGI WA AFRIKA WANA FIKRA ZA KIKOLONI. TAZAMA SWALI NA JIBU LAKE HAPA CHINI










Wachezaji nane wa timu ya soka ya taifa, Taifa Stars na kikosi kamili cha Uganda, The Cranes, jana wamekwama kuelekea jijini Mwanza kutokana na matatizo ya kiufundi yaliyojitokeza kwenye uwanja wa ndege wa Mwanza ambayo yalisababishwa na mvua kubwa iliyonyesha jijini humo.

Tatizo hilo lilitokana na ndege ya Shirika la ndege Tanzania (ATCL) iliyokuwa inatoka jijini Dar es Salaam kupata ajali na hivyo kupelekea ndege nyingine kushindwa kutua wala kuruka kutoka katika uwanja huo jana.

Akizungumza jana, Katibu Mkuu wa Shirikisho la soka Tanzania (TFF), Fredrick Mwakalebela, alisema kwamba kutokana na tatizo hilo, wachezaji hao wa Stars ambao wanaichezea klabu ya Yanga walilazimika kurejea nyumbani na hivyo safari yao inatarajiwa kufanyika leo.

Mwakalebela alisema kuwa tatizo hilo liliwakumba pia The Cranes ambao tayari walikuwa kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Entebbe nchini Uganda na kulazimika kusitisha safari hiyo.

Alisema kwamba The Cranes pamoja na wachezaji hao wa Stars wanawatajiwa kuwasili Mwanza leo asubuhi tayari kujiandaa na mchezo huo uliopangwa kufanyika kesho kwenye uwanja wa CCM, Kirumba.

Aliwataja nyota hao waliokwama kuwa ni pamoja na Mrisho Ngassa, Jerryson Tegete, Abdi Kassim, Nadir Haroub 'Cannavaro', Nurdin Bakari, Kigi Makasi na Shadrack Nsajigwa, ambao walirejea jijini Dar es Salaam wakitokea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambako klabu yao ilitolewa na Saint Eloi Lupopo katika Ligi ya Klabu Bingwa Afrika baada ya kufungwa jumla ya magoli 4-2.

"Tuna imani mambo yatakwenda vizuri na timu zote zitakuwa jijini Mwanza kabla ya kesho mchana ili kuweza kuchuana hapo Jumatano," aliongeza Mwakalebela.

Chanzo chetu kilichokuwa kwenye uwanja wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere, kilisema kwamba wachezaji hao walikaa uwanjani hapo kwa zaidi ya saa nne na kwamba ilipofika saa 7:00 mchana waliambiwa kuwa safari imeshindikana.

Kutokana na tatizo hilo, The Cranes nao walilazimika kurejea jijini Kampala, Uganda kuendelea na mazoezi mpaka pale watakapofahamishwa kuwepo kwa safari hiyo.

Alisema kwamba mechi hiyo imepangwa kufanyika kuanzia saa 10 kamili jioni ambapo viingilio ni Sh. 5,000 kwa eneo la mzunguko na viti maalumu ni Sh. 15,000.






Leo wadau ni siku ya kuzaliwa king of Bongo Crunk cpwaa hii picha wadau imetengenezwa na vijana wajulikanao kwajina la Crunk Boys wakitoa big up kwa cpwaa, twakutakia kila laheri king .





JAMES anapenda kuwakaribisha wote ndani ya SEE WEAR ambako kumewasili mali mpya aka 'pamba'. Pamba za SEE WEAR ni za high quality kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya kila mtu. Fika SEE WEAR ukajionee mwenyewe. Kwa wale walio mbali na SEE WEAR (NAPOLI) msisite kuwasiliana nasi kupitia E-mail ya blog hii.Gharama za utumaji pamba zitalipwa na SEE WEAR: -SEE WEAR iko mtaa wa: VIA STAFFETTA No.127 ,LAGO PATRIA GIUGLIANO NAPOLI-ITALY.(Picha na Gfamily)








Wapenzi wa jinsia moja wavuruga ibada, Uholanzi
Nchini Uholanzi, mamia ya wanaharakati wanaounga mkono ndoa za mapenzi ya jinsia moja walitoka nje wakati misa ikiendelea katika kanisa moja la katoliki ambapo walikuwa wamekusanyika kupinga sera ya kanisa hilo juu ya uhusiano wa aina hiyo.

Walivuruga misa kwa nyimbo na kumzomea kasisi aliyekataa kumpa sakramenti mmoja wa waumini hao aliyetangaza wazi kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja.

Uholanzi ni taifa la kwanza bara Uropa kuidhinisha ndoa za aina hiyo katika mwaka wa 2001.

Hata hivyo kanisa Katoliki nchini humo limeendelea kupinga ndoa hizo.