Saturday, May 9, 2009

DK ALI MOHAMED SHEIN NA MGENI WAKE!

Makamu wa Rais Dk Ali Mohamed Shein, katikati akiwa na Makamu wa Rais wa Iran Parvis Davoodi wakiwa pungia mikono wananchi kwenye viwanja vya karimjee apo jana.


JE? MABOMU YAMEISHA AU LAA!
Wakazi wambagala awajamini kama masalia yote ya mabomu! yameteketweza kutokana bomu la mkono liliolipuka hapo jana jioni , juhudi za kuwasaidia walio pata mkasahuo bado selekali inaendelea kutoa msaada kwa kila mmoja pia kuna makapuni mbalimbali yamejitokeza kutoa msaada pia .

CPWAA PROBLEM VIDEO PIC,


Nipe habari leo imefanya maojiano na msanii cpwaa a.k.a cp hivi sasa cp kazizake zinafanya vizuri dani ya East Afrika na kimataifa kiujumla cp hivi sasa leongo lake nikufanya mziki na wasanii wa kimataifa,



No comments:

Post a Comment