Mdau wa Arusha anaomba habari zaidi juu ya msanii p n c kuwakimya mdamrefu kwenye game hili la bongo flava mshabiki Ally anashangaa zaidi nini kinasababisha wasanii hawa kupotea baada ya kupata chat tuu,
P - FUNK ASEMA SIO KWELI,

Producer maarufu na mmiliki wa studio za Bongo Records P-Funk aka Majani ameibuka na kukanusha habari zilizozagaa mtaani siku za hivi karibuni kuwa ameacha kusimamia wasanii wake wa siku nyingi Ferooz wa Daz Nunda na Juma Nature
No comments:
Post a Comment