Friday, May 15, 2009

VITA MBAYA JAMANI ?


Amakweli vita mbaya sana jioneni wanadamu wanavyo teseka kama wanyama, hii yote ni kwajili ya viongozi wanao gombania uongozi waongangania madaraka. wanasababisha vita kama sisi tunaamani tujitahidi tuwasaidie wasio na amani nihayo tu toka nipehabari,

No comments:

Post a Comment