Level za Rock sasa - Suma Lee
Msanii wa muziki wa kizazi kipya mmoja wa waliokuwa wanaunda kundi la Park Lane Suma Lee amedhihirisha ya kuwa bado yupo kwenye game ingawa alikuwa kimya kwa muda mrefu kwa kauchia nyimbo mpya inayokwenda kwa jina la "She Driving Me Crazy". Akichonga na Dar411 Suma Lee alisema aliwaachia wasikilizaji wachague jina la wimbo na hilo jina ndio wamependekeza. "Ngoma hii hivyo....
MTENDAJI MKUU ADEM YASISITIZA UWAJIBIKAJI NA UMOJA KWA WATUMISHI
-
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM), Dkt.
Maulid J. Maulid, amefanya kikao kazi na watumishi wa taasisi hiyo kutoka
kampasi zot...
16 minutes ago

No comments:
Post a Comment