Level za Rock sasa - Suma Lee
Msanii wa muziki wa kizazi kipya mmoja wa waliokuwa wanaunda kundi la Park Lane Suma Lee amedhihirisha ya kuwa bado yupo kwenye game ingawa alikuwa kimya kwa muda mrefu kwa kauchia nyimbo mpya inayokwenda kwa jina la "She Driving Me Crazy". Akichonga na Dar411 Suma Lee alisema aliwaachia wasikilizaji wachague jina la wimbo na hilo jina ndio wamependekeza. "Ngoma hii hivyo....
TPDC Yawekeza Bilioni 8.4 Kujenga Vituo vya CNG Vinavyohamishika
-
SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limewekeza shilingi bilioni
8.4 katika uanzishaji wa vituo sita vya kujaza gesi asilia iliyoshindiliwa
(C...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment