Level za Rock sasa - Suma Lee
Msanii wa muziki wa kizazi kipya mmoja wa waliokuwa wanaunda kundi la Park Lane Suma Lee amedhihirisha ya kuwa bado yupo kwenye game ingawa alikuwa kimya kwa muda mrefu kwa kauchia nyimbo mpya inayokwenda kwa jina la "She Driving Me Crazy". Akichonga na Dar411 Suma Lee alisema aliwaachia wasikilizaji wachague jina la wimbo na hilo jina ndio wamependekeza. "Ngoma hii hivyo....
Angry fans throw chairs and bottles at Messi event in India
-
The Inter Miami and Argentina forward is in India for his 'GOAT tour',
taking in events in Kolkata, Hyderabad, Mumbai and New Delhi.
1 hour ago

No comments:
Post a Comment