NAHAPA NDIO NYUMBA GARI LINAANZA SAFARI,
KAMA UNASIKIA JOTO UNAKUJA KUOGA HAPA
MWENDESHAJI WETU ANAKAA HAPA
KAMAUMECHOKA SASA UNALALA HAPA
NYUMBA GARI ,
Kama mnavyoona picha mbalimbali za bassi hili sehemu ya kuweka mizigo bassi hili unaweka gari ndogo haya wa Tanzania wote wenye hela zakufanya mbombo haya bilasha bongo litafika tu wadau wapo wakutosha kwenye upinzani wa magari,,
WAZIRI NDEJEMBI ATEMBELEA OSHA, ASISITIZA UWEKEZAJI ZAIDI KATIKA TEHAMA
-
Na Mwandishi Wetu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu),
Deogratius Ndejembi amefanya ziara katika Ofisi za Wakala wa...
59 minutes ago
No comments:
Post a Comment