Habari zilizotufikia hivi Punde zinasema aliyekuwa mume wa Mbunge wa Viti maalumu Amina Chifupa na mfanyabiashara maarufu nchini, Mohamed Mpakanjia a.k.a Medy amefariki muda mchache uliopita kwenye hospital ya Lugalo Jeshini. Habari zaidi zinasema Mpakanjia alizidiwa jana usiku katika Hosipitali ya Dr Masawe Temeke ambako alikimbizwa kwa kupata uduma ya kwanza mpaka mautiyalipo mkuta Mungu alilaze pema Roho ya Marehemu.
Labour ousts Tories in Blackpool South by-election
-
Labour supporters are celebrating a huge 26% swing from the Tories, heaping
pressure on Rishi Sunak.
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment