MISS TANZANIAOUTPHOTOZ 2009 **********************************************
Hapo juu ni baadhi ya warembo waliowahi kushiriki katika kumsaka mrembo wa Tanzania, akiwemo (Nasreem Mohamed Miss Tanzania 08) kulia, Jaqueline Ntuyabaliwe aka kylin(msanii wa Bongofleva na wengineo wakiwa na shauku ya kutaka kujua ni nani atanyakua taji la miss Tz 09.
Wasanii wa bongo flava Fid Q akiwa na Matonya wakitumbuiza ndani Mlimani city katika kinyang'anyiro cha kumtafuta Miss Tanzania 2009
hivi ni kwa nini mamiss wetu wengi ambao wakisha maliza muda wao wanakuwa wanaleta inshu sio?wengi wao wanakuwa na skendo mbay akwani hawajui kuwa wao wanaliwakilisha taifa letu katika nyanja mbalimbali.Sijui huyu wa sasa atakuaje au atafuata itikadi za wenzake mimi na wewe hatujui ila yetu macho...
JOTI ASHINDA TUZO YA MCHEKESHAJI BORA MKONGWE
-
Tuzo ya Mchekeshaji Mkongwe imekwenda Kwa Lucas Mhuvile a.k.a Joti .
Joti anaondoka na tuzo ya pili Usiku wa tuzo za Ucheshi (TCA) ambapo awali
akikabidhiw...
VETA yatangaza maadhimisho ya miaka 30
-
Mkurugenzi Mkuu wa VETA, CPA Anthony Kasore akizungumza na waandishi wa
habari kuhusiana na maadhimisho ya miaka 30 tangu kuanzishwa kwa VETA
katika Mk...
-
[image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio]
Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio
alt=”” class=”w...
Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli
-
*By Dr. Herman Louise Verhofstadt*
* “A BIT like President Donald Trump, Tanzania’s president, John Magufuli,
likes to fire employees on television. In No...
TUNAHAMA
-
KULINGANA NA TEKNOLOJIA NA MABADILIKO YA TEKNOHAMA
....lol nimetumia misamiati ee
YES 8020 FASHIONS SASA TUNAHAMA TOKA HAPA NA TUTAKUWA TUNAPATIKANA HUMU
...
hivi ni kwa nini mamiss wetu wengi ambao wakisha maliza muda wao wanakuwa wanaleta inshu sio?wengi wao wanakuwa na skendo mbay akwani hawajui kuwa wao wanaliwakilisha taifa letu katika nyanja mbalimbali.Sijui huyu wa sasa atakuaje au atafuata itikadi za wenzake mimi na wewe hatujui ila yetu macho...
ReplyDelete