MISS TANZANIAOUTPHOTOZ 2009 **********************************************
Hapo juu ni baadhi ya warembo waliowahi kushiriki katika kumsaka mrembo wa Tanzania, akiwemo (Nasreem Mohamed Miss Tanzania 08) kulia, Jaqueline Ntuyabaliwe aka kylin(msanii wa Bongofleva na wengineo wakiwa na shauku ya kutaka kujua ni nani atanyakua taji la miss Tz 09.
Wasanii wa bongo flava Fid Q akiwa na Matonya wakitumbuiza ndani Mlimani city katika kinyang'anyiro cha kumtafuta Miss Tanzania 2009
hivi ni kwa nini mamiss wetu wengi ambao wakisha maliza muda wao wanakuwa wanaleta inshu sio?wengi wao wanakuwa na skendo mbay akwani hawajui kuwa wao wanaliwakilisha taifa letu katika nyanja mbalimbali.Sijui huyu wa sasa atakuaje au atafuata itikadi za wenzake mimi na wewe hatujui ila yetu macho...
Jumapili ya Kitajiri na Meridianbet Hii Hapa
-
WAJANJA wa odds kubwa Tanzania, Meridianbet wanakwambia hivi Jumapili ya
leo ndio siku nzuri kwa wewe kuondoka na kitita cha pesa kwani mechi zipo
nyi...
-
[image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio]
Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio
alt=”” class=”w...
Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli
-
*By Dr. Herman Louise Verhofstadt*
* “A BIT like President Donald Trump, Tanzania’s president, John Magufuli,
likes to fire employees on television. In No...
TUNAHAMA
-
KULINGANA NA TEKNOLOJIA NA MABADILIKO YA TEKNOHAMA
....lol nimetumia misamiati ee
YES 8020 FASHIONS SASA TUNAHAMA TOKA HAPA NA TUTAKUWA TUNAPATIKANA HUMU
...
hivi ni kwa nini mamiss wetu wengi ambao wakisha maliza muda wao wanakuwa wanaleta inshu sio?wengi wao wanakuwa na skendo mbay akwani hawajui kuwa wao wanaliwakilisha taifa letu katika nyanja mbalimbali.Sijui huyu wa sasa atakuaje au atafuata itikadi za wenzake mimi na wewe hatujui ila yetu macho...
ReplyDelete