Wadu nimewawekea kipande cha movie ya THE A TEAM muone jinsi Kiswahili kinavyozidi kukata mbuga kwenye nchi za wenzetu.Pia kwa Yule ambaye anapenda kuangalia movie aitafute hii mana ni nzuri sana na ina action za kutosha tu.
TANESCO Ruvuma Yatoa Elimu kwa Wananchi Kuhusu Matumizi sahihi ya Umeme na
Nishati Safi ya kupikia.
-
Mbinga, Ruvuma
Shirika la Umeme Tanzania TANESCO Mkoa wa Ruvuma limetoa elimu kwa wananchi
wa Kijiji cha Linda kuhusu matumizi salama ya umeme, ulinzi w...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment