Wadu nimewawekea kipande cha movie ya THE A TEAM muone jinsi Kiswahili kinavyozidi kukata mbuga kwenye nchi za wenzetu.Pia kwa Yule ambaye anapenda kuangalia movie aitafute hii mana ni nzuri sana na ina action za kutosha tu.
NAIBU WAZIRI AIPONGEZA TASAC KWA KUBORESHA HUDUMA ZA USAFIRI MAJINI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, amelipongeza Shirika la
Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) kwa jitihada zake za kuendelea kuboresha
sekta y...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment