Wadu nimewawekea kipande cha movie ya THE A TEAM muone jinsi Kiswahili kinavyozidi kukata mbuga kwenye nchi za wenzetu.Pia kwa Yule ambaye anapenda kuangalia movie aitafute hii mana ni nzuri sana na ina action za kutosha tu.
COCA-COLA YASHIRIKIANA NA SERIKARI KULINDA VYANZO VYA MAJI WAMI-RUVU
-
Farida Mangube Morogoro
Kampuni ya Coca-Cola imewekeza zaidi ya Shilingi bilioni 5 katika mradi wa
kulinda na kurejesha vyanzo vya maji vya Bonde la Wami-...
17 minutes ago

No comments:
Post a Comment