Wadu nimewawekea kipande cha movie ya THE A TEAM muone jinsi Kiswahili kinavyozidi kukata mbuga kwenye nchi za wenzetu.Pia kwa Yule ambaye anapenda kuangalia movie aitafute hii mana ni nzuri sana na ina action za kutosha tu.
KITITA CHA HUDUMA MUHIMU YA BIMA YA AFYA KWA WOTE KUANZA KUTUMIKA JANUARI 26
-
Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa, amezindua rasmi Kitita cha Huduma
Muhimu ya Bima ya Afya kwa Wote, kinachotarajiwa kuanza kutumika Januari 26
mwaka h...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment