Wadu nimewawekea kipande cha movie ya THE A TEAM muone jinsi Kiswahili kinavyozidi kukata mbuga kwenye nchi za wenzetu.Pia kwa Yule ambaye anapenda kuangalia movie aitafute hii mana ni nzuri sana na ina action za kutosha tu.
RAIS DKT. SAMIA AKIFUNGUA MRADI WA MAJI WA BUTIMBA NA KUZUNGUMZA NA WANANCHI
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizindua mradi wa maji Butimba mkoani Mwanza tarehe 20 Juni, 2025. mradi
huu wa...
4 minutes ago
No comments:
Post a Comment