MANDALIZI YA KITOWEO
Wadau wakiendelea kuandaa mboga katika machinjio ya nyoka huko china lakini sio nyoka pekee,kwa mbali hapo naona kuna jamaa amemkanyagia kenge akichuna. Inasemekana biashara ya ngozi ya nyoka ni nzuri na ina faida ya kutosha duniani.
DKT. MAPONGA:NCHI ZA AFRIKA ZISHIKAMANE KUTIMIZA NDOTO
-
Na Mwandishi Wetu
MWANAHARAKATI anayechochea umoja na mshikamano katika bara la Afrika, Dkt.
Joshua Maponga amewaasa Waafrika kuendelea kushikamana kwa...
41 minutes ago










No comments:
Post a Comment