MANDALIZI YA KITOWEO
Wadau wakiendelea kuandaa mboga katika machinjio ya nyoka huko china lakini sio nyoka pekee,kwa mbali hapo naona kuna jamaa amemkanyagia kenge akichuna. Inasemekana biashara ya ngozi ya nyoka ni nzuri na ina faida ya kutosha duniani.
TPDC Yawekeza Bilioni 8.4 Kujenga Vituo vya CNG Vinavyohamishika
-
SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limewekeza shilingi bilioni
8.4 katika uanzishaji wa vituo sita vya kujaza gesi asilia iliyoshindiliwa
(C...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment