Enzi hizo
Enzi hizo za utoto we2 tulikuwa tunaokota hela sana,lkn sasa hivi imekuwa vigumu sana.wewe unafikiri ni kwa sababu gani???
A)Ugumu wa maisha
B)Watu wamekuwa makini na bahili sana
C)Ukitembea na tochi na huku unaangalia chini utapata tu kama zamani
D)wa2 wengi wanavaa majinsi
E) Hakuna jibu sahihi.(Weka jibu lako mdau)
...
Swali kutoka kwa mdau Abdillah. D. Nkya
OSHA INA NAFASI MUHIMU YA KUWEZESHA SHUGHULI CHA UZALISHAJI-KATIBU MKUU KAZI
-
Wajumbe wa Baraza la OSHA wakifuatilia majadiliano mbalimbali
yaliowasilishwa katika kikaocha Tano cha Baraza la Tano la wafanyakazi wa
OSHA kilichofanyik...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment