Enzi hizo
Enzi hizo za utoto we2 tulikuwa tunaokota hela sana,lkn sasa hivi imekuwa vigumu sana.wewe unafikiri ni kwa sababu gani???
 A)Ugumu wa maisha 
B)Watu wamekuwa makini na bahili sana 
C)Ukitembea na tochi na huku unaangalia chini utapata tu kama zamani 
D)wa2 wengi wanavaa majinsi
E) Hakuna jibu sahihi.(Weka jibu lako mdau)
...
Swali kutoka kwa mdau Abdillah. D. Nkya
'Ball of the century? That was my job' - Ashes 'rhino' Harris
                      -
                    
Australia seamer Ryan Harris needed a second chance at being a professional 
cricketer, but when it came he formed one of the Ashes most clinical 
partnershi...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment