Enzi hizo
Enzi hizo za utoto we2 tulikuwa tunaokota hela sana,lkn sasa hivi imekuwa vigumu sana.wewe unafikiri ni kwa sababu gani???
A)Ugumu wa maisha
B)Watu wamekuwa makini na bahili sana
C)Ukitembea na tochi na huku unaangalia chini utapata tu kama zamani
D)wa2 wengi wanavaa majinsi
E) Hakuna jibu sahihi.(Weka jibu lako mdau)
...
Swali kutoka kwa mdau Abdillah. D. Nkya
MSHIKAMANO KULETA UFANISI KATIKA USIMAMIZI NA UFUATILIAJI WA CHANJO
-
Mshikamano wa viongozi wa sekta ya afya umeelezwa kuwa nyenzo muhimu katika
kuongeza ufanisi wa usimamizi na ufuatiliaji wa huduma za chanjo, hatua
i...
1 minute ago

No comments:
Post a Comment