Tuesday, October 12, 2010




Hivi hizi application form huwa wanazipitia kuhakikisha hazina makosa  au wanabadilisha  academic year alafu basi.Kilichonifanya kupost hii habari ni kichefuchefu cha hapo chini hebu soma kwa makini siku ya urudishwa  wa form hii.

Fomu ya mwaka wa masoma 2010/2011 wanafunzi wanatakiwa  kuingia chuo mwezi ujao na fomu zimeanza kutolewa baada ya TCU  kutoa majibu ya wanafunzi waliochaguliwa vyuoni,lakini fomu zinatakiwa kurudishwa kabla ya 30/4/2010.
Wadau naomba mnifahamishe kama nitakuwa nimekosea

No comments:

Post a Comment