Jumanne hii na nyingine zinazokuja wakali wote tunakutana pale KATI Billcanas kwenye usiku wa studio 2 live ambapo TID & Topband wanapasuka vizuri kabisa kuanzia saa 4 usiku,Kiingilio mguu yako acha Buku 5(5000) tu mlangoni
WIZARA YA FEDHA YAENDELEA KUPONGEZWA KWA WELEDI WA UTOAJI ELIMU
-
Na. Peter Haule na Chedaiwe Msuya, Dodoma
Naibu Waziri wa Ofi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. Deus Sangu (Mb) ameipongeza W...
9 minutes ago
No comments:
Post a Comment