Kama wazee hawa walithubutu kusimama kwenye msururu mrefu hivi ili wapige kura, itakushinda nini wewe baba,wewe mama,wewe kaka,wewe dada wewe kijana,kusimama foleni na kupiga kura shimeshimee watanzania tukapige kura,mabadiliko yataletwa na kura yako.katika picha hapo juu wa nne kushoto ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiwa kwenye foleni ya kupiga kura
SERIKALI YAUNDA KAMATI YA UCHAMBUZI VIWANGO VYA PENSHENI
-
Peter Haule, WF, Dodoma
SERIKALI imesema kuwa imeunda kamati ya kukusanya na kuchambua maoni na
mapendekezo ya viwango vya nyongeza ya pensheni ili kuwe...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment