Kama wazee hawa walithubutu kusimama kwenye msururu mrefu hivi ili wapige kura, itakushinda nini wewe baba,wewe mama,wewe kaka,wewe dada wewe kijana,kusimama foleni na kupiga kura shimeshimee watanzania tukapige kura,mabadiliko yataletwa na kura yako.katika picha hapo juu wa nne kushoto ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiwa kwenye foleni ya kupiga kura
ETDCO YATOA MKONO WA EID EL FITRI KITUO CHA KULEA WATOTO IGAMILO
-
Kampuni Tanzu ya TANESCO inayojishughulisha na Ujenzi pamoja na Ukarabati
wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji Umeme (ETDCO) imetoa msaada wa
vitu ...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment