Kama wazee hawa walithubutu kusimama kwenye msururu mrefu hivi ili wapige kura, itakushinda nini wewe baba,wewe mama,wewe kaka,wewe dada wewe kijana,kusimama foleni na kupiga kura shimeshimee watanzania tukapige kura,mabadiliko yataletwa na kura yako.katika picha hapo juu wa nne kushoto ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiwa kwenye foleni ya kupiga kura
Funeral hears of 'unspeakable loss' of murdered mum and children
-
The Bishop of Ferns, Ger Nash, spoke of how "heartbroken" their loved ones
are at the "tragic and unspeakable loss".
1 hour ago
No comments:
Post a Comment