Kama wazee hawa walithubutu kusimama kwenye msururu mrefu hivi ili wapige kura, itakushinda nini wewe baba,wewe mama,wewe kaka,wewe dada wewe kijana,kusimama foleni na kupiga kura shimeshimee watanzania tukapige kura,mabadiliko yataletwa na kura yako.katika picha hapo juu wa nne kushoto ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiwa kwenye foleni ya kupiga kura
DKT. MAPONGA:NCHI ZA AFRIKA ZISHIKAMANE KUTIMIZA NDOTO
-
Na Mwandishi Wetu
MWANAHARAKATI anayechochea umoja na mshikamano katika bara la Afrika, Dkt.
Joshua Maponga amewaasa Waafrika kuendelea kushikamana kwa...
39 minutes ago


No comments:
Post a Comment