Kama wazee hawa walithubutu kusimama kwenye msururu mrefu hivi ili wapige kura, itakushinda nini wewe baba,wewe mama,wewe kaka,wewe dada wewe kijana,kusimama foleni na kupiga kura shimeshimee watanzania tukapige kura,mabadiliko yataletwa na kura yako.katika picha hapo juu wa nne kushoto ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiwa kwenye foleni ya kupiga kura
Victims of shootings in Canada named by police
-
Eight people were killed, ranging in age from 11 to 39, with 25 people
injured in the shootings at a school and a home.
3 hours ago


No comments:
Post a Comment