Kama wazee hawa walithubutu kusimama kwenye msururu mrefu hivi ili wapige kura, itakushinda nini wewe baba,wewe mama,wewe kaka,wewe dada wewe kijana,kusimama foleni na kupiga kura shimeshimee watanzania tukapige kura,mabadiliko yataletwa na kura yako.katika picha hapo juu wa nne kushoto ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiwa kwenye foleni ya kupiga kura
MKOA WA MARA YAONYA WAVUVI KULAZIMISHA SAFARI WAKATI WA VIASHIRIA VYA HATARI
-
Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara Dkt.Zabron Masatu akizungumza na
maafisa wa TASAC waliotembelea Ofisi ya Mkoa wa Mara.
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment