Uchaguzi 2010
Ingia katika website ya tume ya uchaguzi ilikujua mambo mengi kuhusu uchaguzi wa mwaka huu.Baadhi ya yaliyo ni jinsi ya kujua kituo chako cha kupigia kura na TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YATOA TATHMINI YA MWENENDO WA KAMPENI.
Ilikujua kituo chako cha kupigia kura unatakiwa uwe na namba ya kadi ya mpiga kura.
Fuata link hii:
http://www.nec.go.tz/index.php?
No comments:
Post a Comment