Waziri Mkuu,Mizengo Pinda na Kulia ni Balozi wa India nchini,V. Bhagirathi.wakata wa uzinduzi wa matrekta ya kilimo kwanza aina ya FARMTRUCK kutoka India unaosimamiwa na SUMA JKT, kwenye eneo la Kambi ya Jeshi ya Lugalo jijini Dar es salaam Oktoba 7, 2010. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
CPA.MKAMA: KUNA MAENDELEO MAKUBWA NA USTAWI MZURI KATIKA MIFUKO YA
UWEKEZAJI WA PAMOJA
-
Na Mwandishi Wetu
MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) imesema katika kipindi cha
miaka mitano, kumekuwa na maendeleo makubwa na ustawi mzuri ...
23 minutes ago

No comments:
Post a Comment