Saturday, November 13, 2010

Mazoezi ya kilimanaro stars jioni ya leo
Kilimanjaro stars wameshaingia kambini leo kwa ajiri ya kujiandaa na michuano ya challenge ambayo yanatarajiwa kuanza hivi karibuni



mwaikimba katika mozoezi ya timu ya kilimanjaro stars leo.



kaseja akiwa anafanya mazoezi na makipa wenzake wakiongozwa na kocha juma pondamali

Kado mazoezi na makipa wenzake

No comments:

Post a Comment