MIZENGO KAYANZA PINDA NDIYE WAZIRI MKUU WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Kura zilizopigwa zilikuwa 328, kura zilizoharibika ni 2,kura za wale waliosema hapana ni 49 na kura zilizompitisha mheshimiwa pinda ni 277.Baada ya kutangaza matkeo hayo mheshimiwa spika akamtangaza mheshimiwa pinda kuwa waziri mkuu aliyepitishwa na bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania.
No comments:
Post a Comment