Monday, November 8, 2010

TUSIKILIZE DIAMOND KWA UMAKINI NA TUYAFANYIE KAZI

Haikua rahisi kuweza kufanikisha kushinda tunzo tatu.. lakini kwakua 
kwa moyo mmoja mliweza kushirikiana na mimi bega kwa bega na 
kunipigia kura msanii wenu kipenzi ikawa ni rahisi kushinda TUNZO 3 
na nikawa mwanamuziki wa kwanza wa bongo flavour kuandika 
historia kwa kuvunja records ya kuchukua tunzo tatu...hivyo basi 
kama tuliweza kuchukua TATU ni rahisi sana kuchukua MOJA na 
kuleta heshima nchini kwetu... tafadhari naomba mnipigie kura kupitia
Ahsanteni!

No comments:

Post a Comment