Miss kigamboni ya ng'alishwa na bongo5 wadau wapenzi na mashabiki wa ulibwende hawa ni kati ya warembo watakao shiriki katika kusaka Miss kigamboni na hapa mnavyo waona walikuwa katika mazoezi katika ukumbi wa sanaa pub mwaka huu washiriki wa umiss wamejitokeza kwa wingi na wengine wameruhusiwa na wazazi wao kuweza kuifanya umiss wa mwaka huu kuwa na warembo waukweli ,
MKOA WA MARA YAONYA WAVUVI KULAZIMISHA SAFARI WAKATI WA VIASHIRIA VYA HATARI
-
Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara Dkt.Zabron Masatu akizungumza na
maafisa wa TASAC waliotembelea Ofisi ya Mkoa wa Mara.
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment