Miss kigamboni ya ng'alishwa na bongo5 wadau wapenzi na mashabiki wa ulibwende hawa ni kati ya warembo watakao shiriki katika kusaka Miss kigamboni na hapa mnavyo waona walikuwa katika mazoezi katika ukumbi wa sanaa pub mwaka huu washiriki wa umiss wamejitokeza kwa wingi na wengine wameruhusiwa na wazazi wao kuweza kuifanya umiss wa mwaka huu kuwa na warembo waukweli ,
Kituo cha sheria cha ELAF: Tuelimishe amani, siyo vurugu za uchaguzi
-
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
Kuelekea uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika
Oktoba 29 mwaka huu, Kituo cha Sheria cha Ever...
57 minutes ago

No comments:
Post a Comment