Friday, May 22, 2009

MANDALIZI YA KITOWEO CHA NYOKA<











Wadau wakiendelea kuandaa mboga katika machinjio ya nyoka huko china lakini sio nyoka pekeyake kwambali apo naona kuna jamaa amemkanyagia kenge! akichuna inasemekana biashara ya ngozi ya nyoka ninzuri na inafaida ya kutosha duniani haya wa Tanzania kazi kwenu ajira ya burebure misitu tunayo nyoka tunao wengiii sizani kama tutawamaliza ,

No comments:

Post a Comment