Bongo viberiti vinapanda na kushuka kamaunavyoona mdau hii ndio bongo ya sasa yani kasimpya nguvu mpya majengo ya zamani yote. yanaendelea kupingwa nyundo kama kawaida na kujenga vikwangua anga tu,
WATENDAJI KITUO CHA UOKOZI MWANZA WATAKIWA KUTOA HUDUMA ZA DHARURA KWA SAA
24
-
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa maagizo kwa watendaji wa Kituo
cha Kuratibu Utafutaji na Uokozi cha Kikanda – Mwanza, chenye thamani ya
takriba...
26 minutes ago

No comments:
Post a Comment