Bongo kila mwezi lazima jengo jipya lizinduliwe wadau wa nje ya nchi karibuni bongo .
Bongo viberiti vinapanda na kushuka kamaunavyoona mdau hii ndio bongo ya sasa yani kasimpya nguvu mpya majengo ya zamani yote. yanaendelea kupingwa nyundo kama kawaida na kujenga vikwangua anga tu,
CDF MKUNDA AELEZA UMUHIMU WA JKT KATIKA ULINZI WA TAIFA
-
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Batilda Burian akikagua gwaride kabla ya
kufunga mafunzo ya awali ya ya Kijeshi kwa vijana wa kujitolea Operesheni
miaka ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment