Weekend out photoz ni kutoka Machozi Band ambayo iliwasha moto kwenye sikukuu ya Eid pia Machozi Band iliweza kumualika Msanii machachali Banza Stoni aliwarusha mashabiki wa Machozi kwa nyimbo yake ya ( mtaji wa masikini ) kama unavyoona mdau kwenye hizi picha.
Doreen Peter Noni: Watanzania tumchague Rais Samia, Nchimbi, Wabunge,
Madiwani kwa maendeleo ya nchi
-
Mmoja wa kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Doreen Peter Noni, ametoa
wito kwa Watanzania wote kutumia fursa ya uchaguzi mkuu kutoa kura za maono
...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment