Weekend out photoz ni kutoka Machozi Band ambayo iliwasha moto kwenye sikukuu ya Eid pia Machozi Band iliweza kumualika Msanii machachali Banza Stoni aliwarusha mashabiki wa Machozi kwa nyimbo yake ya ( mtaji wa masikini ) kama unavyoona mdau kwenye hizi picha.
JAFO: WATUMISHI KISARAWE FANYENI KAZI KWA WELEDI NA USHIRIKIANO
-
*Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akizungumza na watumishi
wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe wakati wa ziara yake ya kuwashukuru
kw...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment