Weekend out photoz ni kutoka Machozi Band ambayo iliwasha moto kwenye sikukuu ya Eid pia Machozi Band iliweza kumualika Msanii machachali Banza Stoni aliwarusha mashabiki wa Machozi kwa nyimbo yake ya ( mtaji wa masikini ) kama unavyoona mdau kwenye hizi picha.
MKOA WA MARA YAONYA WAVUVI KULAZIMISHA SAFARI WAKATI WA VIASHIRIA VYA HATARI
-
Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara Dkt.Zabron Masatu akizungumza na
maafisa wa TASAC waliotembelea Ofisi ya Mkoa wa Mara.
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment