Hatimaye nimempata mtu wa kunisaidia kazi zangu na si mwingine ni first lady anayekwenda kwa jina la MISS APETITE. Yeye atakuwa anadili na mail mtakazokuwa mnatuma mimi sasa nikirudi nitakuwa naingia kitaani na kuleta mambo mazuri. Miss huyu atatambulishwa hapo baadae sanaaaaaaaaaaa.
NYIMBO MPYA ZIMEINGIA NDANI YA BLOG KAMA Chidi Beenz - On Fire, Stereo, One, Cyrill, Goz B, Izzo B, Mabeste & Young D - New Era muzik, na wimbo wa Banana ft Yang D - Wen she is High.
Mnaweza kuingia na kusikiliza, ingawa bado niko mbali ila Miss Apetite atakuwa anapandisha mdogo mdogo ili blog isiwe doro
DJ CHOKA aka Mr. Apetite
Artist DJ
Tel: +255 715 727873 begin_of_the_skype_highlighting +255 715 727873 end_of_the_skype_highlighting or +255 775041002 begin_of_the_skype_highlighting +255 775041002 end_of_the_skype_highlighting
Mail: djchoka@yahoo.com, djchoka@gmail.com,
Website: www.djchoka.blogspot.com,
CPA.MKAMA: KUNA MAENDELEO MAKUBWA NA USTAWI MZURI KATIKA MIFUKO YA
UWEKEZAJI WA PAMOJA
-
Na Mwandishi Wetu
MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) imesema katika kipindi cha
miaka mitano, kumekuwa na maendeleo makubwa na ustawi mzuri ...
4 minutes ago


No comments:
Post a Comment