Waugwana napenda kuwaambia kuwa nitakuwa nje ya mji kwa muda wa wiki hivi.Kwa hiyo nitashinda kuwapa habari na matukio mapya kwa kipindi hiki lakini nikirudi nitawawekea matukio nitakayo kutana nayo.Samahani kwa usumbufu wowote utakao jitokea .
WAZIRI KOMBO AWASILI JIJINI YOKOHAMA (JAPAN) KUSHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA
NCHI NA SERIKALI WA TICAD 9
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi
Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amewasili jijini Yokohama, Japan kumwakilisha
Mheshimiwa ...
4 minutes ago
No comments:
Post a Comment