Wadau nataka angalizo lenu
Muda si mrefu nimepata sms katika simu yangu na imeshatapakaa sehemu nyingi inasomeka hivi
"Ukipigiwa simu kwa private number,au ikaandika call kwa red colour usipokee ni mionzi unaparalise na kufa.imetokea kenya watu wamekufa .wajulishe ndugu &jamaa wote"
Hii ni ukweli au ni ndio tunawekana roho juu tena?
WAKULIMA WA KIPANDE-NKOAVELE KUONGEZEWA MITA 1000 YA MIFEREJI YA UMWAGILIAJI
-
WAKULIMA zaidi ya 650 katika kijiji cha Kipande-Nkoavele, Halmashauri ya
Meru katika Mkoa wa Arusha kunufaika na mita 1000 za mifereji ya
umwagiliaji kwa...
20 minutes ago

No comments:
Post a Comment