Mgombea Mwenza wa urais kupitia tiketi ya CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akisalimiana na aliyekuwa Kada Machachari wa CCM, Hussein Bashe, wakati walipokutana hivi karibuni mjini Bagamoyo. Dk. Bilal alisihi Bashe kuwa mvumilivu na kuwa na subira kama ambavyo amekuwa yeye kwa kipindi kirefu hadi fikia kuteuliwa kuwa mgombea Mwenza. Picha na Muhidin Sufiani
Prime minister flies to China for three-day visit
-
Sir Keir Starmer is the first British prime minister to travel to Beijing
since Theresa May in 2018.
2 hours ago

No comments:
Post a Comment