Mgombea Mwenza wa urais kupitia tiketi ya CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akisalimiana na aliyekuwa Kada Machachari wa CCM, Hussein Bashe, wakati walipokutana hivi karibuni mjini Bagamoyo. Dk. Bilal alisihi Bashe kuwa mvumilivu na kuwa na subira kama ambavyo amekuwa yeye kwa kipindi kirefu hadi fikia kuteuliwa kuwa mgombea Mwenza. Picha na Muhidin Sufiani
Trump trips, a fake video and 10 possible co-conspirators - Takeaways from
new Epstein files
-
The largest release of Epstein-related documents yet from the justice
department included some notable messages and several mentions of Trump.
56 minutes ago

No comments:
Post a Comment