MACHOZI BAND JUKWAA MOJA NA SIKINDE IJUMAA IJAYO YA TAR 29 OCT 2010, MZALENDO PUB
Tunayofuraha kuwajulisha wapenzi wa Machozi kuwa ijumaa ya tar 29 October 2010.
Tuna ugeni kutoka kwa wakubwa waliotutangulia kimuziki.
DDC Mlimani Park Orchestra maarufu kama Sikinde Ngoma ya Ukae.
Katika jukwaa moja ili tupate uzoefu.
Tunawaomba mashabiki na wapenzi wa Sikinde pamoja na wa Machozi mjitokeze kwa wingi kuja kutuo
pa support, pamoja tunaweza.
Mapenzi teleJayDee
http://ladyjaydee.blogspot.com/
No comments:
Post a Comment