Sunday, August 9, 2009
HAWA NDIO WASANII WA BONGO FLAVA SIMBA DAMU,
Saturday, August 8, 2009
SIPIKA AKIWA AMESHIKIRIA JEZI YA HENRY JOSEPH ABAEANACHEZA SOKA LA KULIPWA ULAYA.
Friday, August 7, 2009
Thursday, August 6, 2009

Entrance will be 10,000 T.shs. It's the first Bongo Facebook Party... It's a chance for you to meet the people that you always chat with... Entrance will be 10,000 T.shs. 8th - August - Saturday from more info visit www.G5click.com or call +255755893232 EXCLUSIVE VIDEOS AND PHOTOS TO BE POSTED ON G5 CLICK WORLD SOCIAL NETWORK WEBSITE AFTER THE PARTY..... the address is - www.G5click.com Sign Up on G5click.com now...it's free
JUNGE NA KLEXMUSIC UWEZE KUSIKILIZA NYIMBO MPYA TOKA BONGO RECORDS ,
Wadau wamziki wa kizazi kipya a.k.a bongo flava nadhani kila Mtu amesikia kuhusu ujuo Mpya wa Studio ya bongo Records ujuo huo ni kazi kama (1) Bed Fight (2) CNN Mangwea ft FidQ ( 3) Feelings Niki wa pili ( 4) Loose your Head Langa ft Q chila Pfunk & Cpwaa, unaweza ukausikiliza kupitia http://klexmusic.ning.com/ navilevile mdau unaweza ukafungua profile yako ndani ya klexmusic karibuni wote,
DAR NDANI YA KIZA
TANESCO KUKATA UMEME TAREHE 13-17 MAENEO YATAKAYO ATHIRIKA NI;
Maeneo hayo ni pamoja na Kinondoni Hananasifu,Kinondoni Moscow,Mkwajuni,Mwananyamala A,Ada Estate,Nyumba ya waziri iliyopo V ictoria,Drive Inn na maeneo ya karibu.
MAENEO YATAKAYO KOSA UMEME TAREHE 22-26 NI;
Masaki yote,Msasani Peninsula,Yatch Club,Coral Beach,SlipwaySea Cliff,Golden Tulip,Coco Beach,Tumbawe Road,Kajificheni Street,Kenyatta Road,Bandarin quarters na Kahama mines house.Tatizo hili la umeme ni kwa sababu ya kutengeneza transfoma za umeme zilizopo maeneo husika.

KIZAAZAA TEMEKE TENA,
Baada ya tukio la ujabazi wa Bank ya NMB tawi la Temeke pamezuka milipuko wa gari la mafuta karibu na Bank hiyohiyo ya NMB nakusababisha wafanyakazi wa Bank kutoka mkuku ndani ya Bank wakizani Majambazi wamerudi tena,baada ya wafanyakazi kukimbia Polisi walitanda ili kulinda usalama wa Bank hiyo.
Wednesday, August 5, 2009
JIJI LETU NILETU WOTE TULIJENGE KWA UMOJA,


Nipehabari bongo leo
Inakulete maendeleo yanayoonekana nayasiyoonekana jijini Dar kama unavyoona mdau kwenye hii picha iliopigwa toka mwaka jana ikionesha majengo yalivyo kua, kama wewe mdau unatebe tembea kidogo jijini utaona tofauti kubwa katika sehemu hizi za haya majengo.
Maendeleo yasio onekana ni barabarazetu mitaro kutofanyiwa usafi mabombaya maji machafu kupasuka na kutofatiliwa kuchimba barabara na kuachwa shimo takiribani mwezi mzima bila kupaziba na kusababisha ajali basi wee mdau jaribu kutembelea baathi ya barabara mdau utajionea zinavyo chimbwa na kuachwaa hiyohivyo nazani ujembe umefika wadau nihayo tu leo jiji dar,








