Saturday, August 29, 2009










Clouds Fm leo ilikua inahekaheka za kumsaka mtangazaji wa clouds Tv
wadau walivyo jitokeza kwa wingi kwenye mchakato mzima wa kumtafuta mtangazaji wa clouds Tv ndani ya Dar leo mchana.

Friday, August 28, 2009


Uchaguzi CCM msimamizi akimbia na majina

Katika Kata ya Manzese hapa jijini Dar es Salaam kasi ya vurumahi ilipamba moto baada ya kuzagaa uvumi kuwa kuna wanachama feki wamejitokeza kupiga kura huku wengine wakidai kuwa kuna vigogo (waliowaita mafisadi) wameingia katika kumbi za kupigia kura wakiwa na majina feki kwa lengo la kuhakikisha mlengwa wao anashinda.

Wengi wa Wanachama wamedai kusikitishwa na ujanjaujanja uliokuwa unaendelea na kuwatia wasiwasi uliozua maswali mengi yasiyo na majibu. Wamedai kuwepo kwa hujuma nyingi tangu kwenye kuunga foleni na zoezi lilikuwa na utata.

Baadhi ya viongozi wakizungumzia hali hiyo bila kutaja majina yao wamedai kuwa kuna kundi la vijana wa kihuni waliopandikizwa (mamluki) kuleta fujo katika zoezi hilo.

Pia kiongozi mmoja msimamizi ambaye jina lake halikujulikana mara moja ameripotiwa kubeba orodha ya wanachama wa kituo chake na kukimbia nayo kusikojulikana huku akidai kuwepo watu wengi waliomtia wasiwasi ambao amesema si wanachama.

Kadi nyingi za wanachama zimechanwa kwa hasira kutupwa tupwa barabarani huku pia watu wengi wakijeruhiwa katika vurumahi hiyo ikiwa ni pamoja na viongozi wao kama ilivyokuwa kwa Mjumbe wa Tawi la Mvuleni Ramadhani Msumi. Shughuli hiyo imekuwa pevu na hakieleweki nini kitaendelea hapo kesho kutokana na kuwepo kwa hali ya kutokuelewana huku kila mmoja akionekana kama adui kwa mwenzake.

Thursday, August 27, 2009


The wedding of the year in Nairobi

Miss Mary Adhiambo (Bride) and Mr. George Wadegu (Groom) from Nyanza but live in Nairobi left many Kenyans speechless in the streets of Nairobi on Saturday 22nd August, 2009. Escorted by two horses, they were riding on Camels at Kariakor market. This is very rare in Nairobi. Not even the August showers could stop them do their thing. They were later joined at ST. Polycarp ACK church at Mlango Kubwa (Juja road Estate) by Rev. Peterson Kithaka Francis. This is one of a kind I have seen in Nairobi City. Sources told us they decided to use horses and Camels cause they are rare in Western Kenya. I could not prove it though. That's why 'najivunia kuwa Mkenya' - All photos by Karuga wa Njuguna, Nairobi, Kenya.

Wednesday, August 26, 2009


Angalia Mix video itwayo make mahela toka kwenye kundi la Crunk Boys kweli, embu angalia mwenye kazi hii mdau,

Tuesday, August 25, 2009


Aston Villa 3

Aston Villa produced an outstanding defensive display to secure their first win against Liverpool in eight years as Rafael Benitez's side continued their stuttering start to the new Premier League campaign.

Villa had been heavily criticised after losing their opening home game to Wigan Athletic and slumping to defeat in the Europa League against Rapid Vienna - but they answered all the questions in emphatic fashion at Anfield.

Liverpool faded after a bright start, and have now lost as many league games as they did last season following losses against Spurs and now Villa.

Anfield was left frustrated as Liverpool wasted the opportunities that came their way, but ultimately they were reduced to running up blind alleys, and out of ideas, in the face of Villa's resilience.

Villa were set on their way after 34 minutes when Lucas deflected Ashley Young's free-kick into his own net, and they grabbed a second on the stroke of half-time when Curtis Davies headed in Nicky Shorey's corner at the near post.

Liverpool surged forward after the break, but met a white wall of resistance as Villa defended their precious lead, with Carlos Cuellar outstanding and goalkeeper Brad Friedel a commanding presence.

Fernando Torres gave Liverpool hope with a close-range strike after 72 minutes, but any hopes of a dramatic revival ended three minutes later when Steven Gerrard brought down Nigel Reo-Coker and Young scored from the spot.

Villa boss Martin O'Neill was elated - and rightly so as his side got their season up and running with a landmark victory.

For Liverpool, they will now simply have to produce better - and more creative - performances as they chase their first title in 20 years.

Liverpool were almost ahead inside the first 30 seconds when Yossi Benayoun beat Friedel to Torres' lofted pass but his header fell inches wide.

Villa survived an even bigger scare after eight minutes when Torres' miscue fell invitingly into the path of Gerrard six yards out, but Friedel struck out a leg and diverted his effort over the bar when a goal seemed certain.

O'Neill's side then produced some stern resistance, with Torres growing increasingly frustrated at what he saw as the over-physical treatment being meted out by the Villa rearguard.

Villa slowly worked their way into the game - but it was still against the run of play when they went ahead in fortuitous fashion after 34 minutes as Lucas unwittingly headed Young's routine free-kick past a stranded Pepe Reina.

And they delivered another counter-punch seconds before half-time, in what Liverpool clearly felt were contentious circumstances.

Keeper Reina was so infuriated by referee Martin Atkinson's decision to award a corner when Steve Sidwell's shot was adjudged to have deflected off Martin Skrtel that he lashed the ball away in disgust and was given a yellow card.

Liverpool felt insult was added to injury when Davies stole in ahead of Torres and Jamie Carragher at the near post to head Villa's second.

The Kop urged Liverpool forward as they predictably lay siege to Villa's goal after the break - and Friedel was the hero with a magnificent diving save to turn away Gerrard's rising drive.

And as the pressure mounted, with Dirk Kuyt heading against the post after Carragher flicked on Gerrard's cross, Torres threw Liverpool a lifeline with 18 minutes remaining as he steered in a simple finish following good work from Emiliano Insua.

Hope was revived inside Anfield, but snuffed out inside three minutes when Gerrard's badly-mistimed tackle on Reo-Coker resulted in an inevitable penalty, which Young dispatched calmly.

It was the decisive blow and Villa held out in relative comfort, with Liverpool resigned to a damaging defeat long before the final whistle.

Monday, August 24, 2009





Haya Kazi Kwenu Djs Bongo!
Kama mnavyoona wadau vyombo vya Mziki kwajili ya Club part, kama wewe ni mwan harakati wa utandawazi basi tafuta vyombo hivi.


MISS VENEZUELA, STEFANIA FERNANDEZ CROWNED MISS UNIVERSE 2009

New York, NY – August 23, 2009 – This evening, during one of the year’s most exciting live international television events, a star-studded panel of judges chose Miss Venezuela, Stefania Fernandez, as MISS UNIVERSE® 2009 live from Atlantis, Paradise Island, Bahamas.

Miss Venezuela, Stefania Fernandez, is 18-years-old and she is interested in International Relations.

The judging panel for the 2009 Miss Universe Pageant included: Dean Cain, actor and producer best known for his TV portrayal of Clark Kent/Superman; Colin Cowie, author/television personality/designer to the stars; Gerry DeVeaux, award-winning producer, songwriter and style guru; Farouk Shami, Founder and Chairman of CHI Hair Care; Heather Kerzner, Ambassador for Kerzner International and their resorts, including Atlantis, Paradise Island; Richard LeFrak, Chairman, President and CEO, LeFrak Organization; George Maloof Jr., professional sports mogul and hotelier; Valeria Mazza, international supermodel; Matthew Rolston, leading photographer and director; Andre Leon Talley, award-winning writer and editor; Tamara Tunie, actress, "Law & Order: Special Victims Unit;" and Keisha Whitaker, fashion maven and founder of the Kissable Couture lip gloss line.

Throughout the two-hour event, contestants from over 80 countries and territories around the world competed in three categories: swimsuit, evening gown and personality interview. Dayana Mendoza,
Miss Universe 2008, crowned her successor at the conclusion of the two-hour primetime telecast before an estimated worldwide viewing audience of approximately one billion viewers.

Final Results:


First Runner-Up: Miss Domincan Republic, Ada Aimee De La Cruz; will assume the duties of MISS UNIVERSE 2009 if the titleholder for some reason cannot fulfill her responsibilities.

Second Runner-Up: Miss Kosovo, Gona Dragusha.

Rest of Top Five: Miss Australia, Rachael Finch; Miss Puerto Rico, Mayra Matos Perez.

Rest of Top Ten: Miss South Africa, Tatum Keshwar; Miss Czech Republic, Iveta Lutovska; Miss Switzerland, Whitney Toyloy; Miss USA, Kristen Dalton; and Miss France, Chloe Mortaud.

Rest of Top Fifteen: Miss Albania, Hasna Xhukici; Miss Belgium, Zeynep Sever; Miss Croatia, Sarah Cosic; Miss Iceland, Ingibjorg Egilsdottir; and Miss Sweden, Renate Cerljen.

Miss Photogenic Universe™ Award: Miss Thailand, Chutima Durongdej. The general public voted on www.nbc.com for the delegate who exemplifies beauty through the lens of a camera. She was awarded a $1,000 cash prize and a gift from pageant sponsor Diamond Nexus Labs.

Miss Congeniality Universe™ Award: Miss China, Wang Jingyao. This award reflects the respect and admiration of the delegate’s peers, who voted for her as the most congenial, charismatic and inspirational participant. She was awarded a $1,000 cash prize and a gift from Diamond Nexus Labs.

The MISS UNIVERSE® 2009 prize package includes: the Miss Universe tiara and jewelry designed by Diamond Nexus Labs; a two-year scholarship from the New York Film Academy worth more than $100,000 dollars to its acting or film-making programs; an eveningwear wardrobe from Carlos Alberto; a custom swimsuit wardrobe from BSC Swimwear Thailand; a shoe collection from Nina Footwear; an assortment of Luxe Collection video cameras from DXG USA; a six-day/five-night vacation for two at Atlantis, Paradise Island, Bahamas with air travel accommodations by JetBlue Airways; a year-long supply of Farouk Systems products, makers of CHI, the original Ceramic Technology tools; a Skype kit featuring a laptop computer, webcam, speakers and a one-year Unlimited World plan to talk to friends and family; membership to Gravity Fitness and pampering at John Barrett Salon; a fashion portfolio by leading fashion photographer Fadil Berisha; dermatology and skincare services by Dr. Cheryl Thellman-Karcher; consultations with personal stylist Billie Causieestko and access to an event wardrobe from leading fashion designers; a New York City apartment for the year of her reign including living expenses and professional representation by the Miss Universe Organization to further her personal and professional goals.


ABOUT THE MISS UNIVERSE ORGANIZATION
The MISS UNIVERSE®, MISS USA® and MISS TEEN USA® Pageants are a Donald J. Trump and NBC Universal joint venture. Utilizing its nationwide grass roots infrastructure, the Miss Universe Organization is committed to increasing HIV/AIDS awareness by focusing on women's health and reproductive issues. By forging relationships with organizations committed to research and education such as the Latino Commission on AIDS, God’s Love We Deliver, PSI/YouthAIDS and Gay Men’s Health Crisis. For more information, visit: www.missuniverse.com




Saturday, August 22, 2009



King wa Crunk Stone Ameachia Video Mpya
Ya nyimbo yake ijulikanayo kwajina la Burn Mashada Stone ni msanii anaetokea kwenye kundi la CRUNK BOYZ mdau unaweza angalia video hii ya stone burn mashada

Friday, August 21, 2009


Mkimbiaji toka south Afrika kuchunguzwa,
anajulikana kwa jina la caster semenya ameleta utata baada ya kushida kweye mbio za wanawake 800m mzozo uliotokea mpakakutaka mchunguza mkimbiaji uyu. nikutokana na ubile lake kuonekana la kiume wadau kazi kwelikweli,

Thursday, August 20, 2009

PICHA ZA MOVIE YA BABY POWDER TOKA U.S.A





Washiriki Wa Baby Pouder Movie,

Karibuni tena wadau wa nipehabari leo nawaletea baby powder Movie out photoz za washiriki wete wa Movie ya baby powder ni
Lambert Tibaigana (Phillip) and Carlos Mwaibula (Tizo) Abdallah (Dallas) Mustafa, Karabani, Emmanuel Mwambingu. Producers wa sinema hii Karabani Director wa sinema hii Albino Fulani (Kai) na Mac Muga (Shaka) Tuni Ngigi (Waridi) Babu Sikare AKA Albino Fulani (Kai) na Lambert Tibaigana AKA LBT (Phillip) Production Team Nick Tennies, Karabani, Chad Tennies, Abdallah Mustafa, Acer, Emmanuel Mwambingu

Saigon afiwa na Wife
Habari za kusikitisha zilizotufikia zinasema..aliyewahi kuwa rapa wa kundi la The Diplomats na mtangazaji wa kituo cha EATV Saigon..amefiwa na mkewe.

Wednesday, August 19, 2009



BIOGRAPHY
Khalfan, 21-years-old, joins the Whitecaps after playing the 2008-09 Tanzanian Premier League season with Moro United. A talented midfielder, Khalfan spent the 2007-08 season in the Middle East with Al Tadamon of the Kuwaiti Premier League. The youngster has also had a successful international career, which includes one game-winning goal in five FIFA World Cup qualifying matches for Tanzania. The 5-foot-7, 150-pound native of Mtwara, Tanzania, also scored the match winner during an historic 2-1 victory over Burkina Faso at the Tanzania National Main Stadium in Dar es Salaam.
Movie kali kuzidi zote ya wabongo na. wakenya waishio U.S.A
leo hii nipehabari inakuletea vionjo vya movie ya wa Bongo waishio Marekani na waerekani pia movie hii inajulikana kwa jina la (Baby Powder) itaziduliwa November mwaka 2009






Kutakuwa na “show” kabambe ya sauti na muziki

kutoka kwa The Blue Three wa nchini Uganda wakisindikizwa na wenyeji Alikiba, Malo na Matonya.

Sehemu: Hotel ya MovenPick Dar es Salaam
Siku: Alhamisi
Tarehe: 20 Agosti 2009
Kiingilio: Tshs. 10,000

Monday, August 17, 2009

Usain Bolt - 9.58 Sec New World Record In Berlin 2009

Nani atavunja recodi ya Bolt kwenye mbio za mita 100, wadau uyujamaa kweli anaendana na jinalake la Bolt embu angalia hii video ,






Taxi overload forbidden!
The Dar es Salaam Regional Govermor, Bill Lukuvi, and police Commander, Sule Kova giving an on-the-spot guidance to Temeke cab driver, Saidi on good nutrition. They told him to eat plenty of veggies and to go slow on ugali and other starches. Meanwhile Commander Kova told the driver that traffic cops will keep a watchful eye on the cabman lest he overloads his taxi with himself!

Saturday, August 15, 2009

MALTA DANCE AFRICAN 14 08 2009 TANZANIA








MALTA DANCE AFRICAN
Hapo jana maeneo ya Diamond Hall ilikua patashika kati ya makundi yaliyo shiriki katika kinyanganyiro hicho cha Malta Dance kama unayo mdau baadhi ya makundi kwenye hizi picha,
YANGA AFRICAN VS U R A YA UGANDA 14-O8-2009















Yanga yawanyamazisha mashabiki wa Simba,
Hapo jana kwenye uwanja wa zamani wa Taifa yanga chupuchupu mbele ya U R A ya Ugada katika kipindi cha kwanza U R A walikua wanaongoza kwa bao 1 katika kipindi cha pili kocha wa Yanga alifanya mabadiliko na kufanikisha kusawazisha bao lililofungwa na mshabuliaji wa Yanga raia wa Kenya - Mike Baraza katika dakika ya mwisho na kuweza kuwanyamazisha U R A na kekele za mashabiki wa Simaba ,