Saturday, August 15, 2009

YANGA AFRICAN VS U R A YA UGANDA 14-O8-2009















Yanga yawanyamazisha mashabiki wa Simba,
Hapo jana kwenye uwanja wa zamani wa Taifa yanga chupuchupu mbele ya U R A ya Ugada katika kipindi cha kwanza U R A walikua wanaongoza kwa bao 1 katika kipindi cha pili kocha wa Yanga alifanya mabadiliko na kufanikisha kusawazisha bao lililofungwa na mshabuliaji wa Yanga raia wa Kenya - Mike Baraza katika dakika ya mwisho na kuweza kuwanyamazisha U R A na kekele za mashabiki wa Simaba ,

No comments:

Post a Comment