Monday, August 16, 2010



Hapa ndio mlango wa kuingilia,ambapo kiingilio kilikuwa ni sh.500 kwa mkubwa na 300 kwa mwanafunzi.Kusema ukweli ingawa waweza kuona ni kiasi kidogo sana hicho lakini nilishuhudia wanafunzi wengi wakirudi mana walishindwa kuingia kwa sababu ya kiingilio kuwa kukubwa sana ukulinganishwa na miaka iliyopita.



Tulipita  banada lililokuwa lina husika na mazao kama mihogo,mahindi,mtama mazao mengine ya nafaka.

Hii ni mashine ambao inatumika kuongeza thamani zao la muhogo.


Mtaalamu wa zao la mihogo akitupa mawili matatu ya  namna ya kugundua magonjwa ya zao la muhogo.

Ni upandaji wa mbegu za mazao kama muhogo na migomba kwa njia ya chupa

Wenzetu hua wanakuja kupata utaalamu.


Wakulima wanapaswa kuiangalia baiskeli kwa jicho la tatu mana niliyoyakuta huku nilipigwa na bumbuwazi.
Hii baiskeli inatumika kupukuchulia mahindi na pia unaweza kuchaji simu ya aina yeyote.Usishangae ndio ukweli,usijiulize sana subiri nikuonyeshe!

Upande huu ni kwa ajiri ya kupukuchulia mahindi tu

Hapa ndio kicharge simu

Angalia vizuri juu ya kiti cha nyuma unaiona simu ikiwa inachajiwa?


Nikaingia banda la sokoine napo nilifurahia kitu kimoja tu.Ingawa kuna mengi yaliniacha mdomo wazi kama hili la mbuzi hapo chini

Wadau angalia jinsi uchafuzi wa nmazingira unavyowaathiri wanyama.Mbuzi huyu alikula mifuko ya naylon

Natumai sasa unaiona vizuri zaidi

Guess what!hapa palinifurahisha sana mana nikakuta  togwa lililowekwa vizuri na katika mazingira ya kibiashara.Kama kawa mzaramo halisi hili huwa halimpiti ikabidi nilishughikie.Natumai mambo mazuri kama haya tuyaone katika maduka yetu wakati ndio huu.


Hii picha imetengenezwa kwa kutumia majani ya mgomba


Aliyefanya hii shughuli yote ni kaka chiga nipo nae kwenye picha hapo.Jamaa aliniambia walitengeneza picha ya mh.Jakaya kikwete lakini hata haikukaa sana watu wanaojua sanaa waliinunua kwa bei ya juu sana.
Ukitaka akutengenezee picha yako kama hivyo wasiliana nae kwa namba 0713436828.

Nilipenda maandishi ya tshirt yake imebidi niwawekee myaone


Sanaa zingine wanazotengeneza ni zile zinazohusika na zao la minazi kama unavyoona hapo juu



Sunday, August 15, 2010

Ferdinand fitness worry
Manchester United manager Sir Alex Ferguson says that defender Rio Ferdinand is still a month away from returning to the first team.

The 31-year-old has spent the last eight weeks rehabilitating from the knee ligament injury he sustained in the run-up to the World Cup finals.

The United boss believed that the England skipper would not be back in action for six weeks, but that estimation now looks to have been slightly optimistic.
Ferdinand seems set to miss United's next four Premier League fixtures and that makes him a major doubt for England's opening two Euro 2012 qualifiers against Bulgaria on 3rd September and Switzerland four days later
China unites in grief on day of mourning

A national day of mourning in china united the people in grief for the more than 1200 killed in landslides triggered by the floods on 7/8 August.At the scene of the disaster Zhouqu,Gansu province, relief worker pose for 3 minutes silence
 Thousands of soldiers were rushed to the area after the landslides to rescue survivors buried in buildings. They have also been working to protect survivors who are still at risk of further flooding and landslides.


 


At the scene of the disaster, bodies are still being found by relief workers.



CHELSEA KIMNYAAAA
SHOW YA KANYE SINGAPORES






HAYA!!

Friday, August 13, 2010

Emerging Designers Competition



The Search for a Emerging Designer has Begun

The Beginning of an Exciting Fashion Career

It’s that time of the year where new untapped creative talents in the Tanzanian Fashion industry shall have the opportunity of their dreams to become the next fashion design icon from Tanzania. An annual competition being held under the umbrella of East Africa’s premiere fashion platform, Swahili Fashion Week.


The competition, now in its third year has no age limit, and is open to anyone who believes he or she has the creative talent of being a fashion designer. Swahili Fashion week is the perfect platform for a designer to showcases his creation, and the emerging designers competition, is a stage to jump start off ones career.

The competition is open to everyone from all parts of Tanzania, and deadline for registration is the 30th of august 2010. In 2008 Edwin Musiba won the award, whilst the second edition in 2009 was won by 2jenge Afrika Matalay,who shall win this year’s award?”

For More Information Regarding Emerging Designer Competition contact Swahili Fashion Week Fashion Coordinator Mr. Washington Benbella on 0717547792 or via email; designers@swahilifashionweek.com

Thursday, August 12, 2010

David Beckham has no England future, says Fabio Capello

England coach Fabio Capello says he will not pick David Beckham to play in another competitive international.

The Italian wants to build around players younger than the 35-year-old former Manchester United midfielder.


Asked if Beckham was in his plans, Capello said: "No, I need to change it. David is a fantastic player but I think we need new players for the future."

Capello said Beckham could play once more for England at Wembley so fans could pay tribute to the ex-skipper.
The Italian, who revealed he has not spoken to Beckham about his future, stated: "If he is fit, I hope we will play one more game here at Wembley so the fans can say goodbye."
DC na DED wagombea ruzuku BUNDA
HALMASHAURI ya Wilaya ya Bunda imeingia katika mgogoro mkubwa wa kugombea ruzuku na mamlaka ya mji mdogo wa Bunda baada ya mkurugenzi wa Wilaya hiyo kudaiwa kugomea ruzuku ya mji huo.

Kufuatia hatua hiyo mamlaka ya mji huo imemshitaki mkurugenzi huyo Cyprian Oyeir kwa mkuu wa wilaya hiyo Francins Isac ili aweze kutatua mgogoro huo.
Baraza hilo ambalo linaundwa na wenyeviti wa vitongozi 38 jana walimshambulia mkurenzi huyo wakimtuhumu kuwa kikwazo cha mji huo baada ya kugoma kuwapatia Mil.82 zinazotolewa na serikali kila Mwaka kama ruzuku ya ustawishaji mji mdogo.


“hapa lazima tuache utakatifu nyuma tuhakikishe tunapambana hadi haki ipatikane ikishindikana kwa mkuu wa wilaya tutamfikisha kwa Mkuun wa Mkoa ambaye ni Mwakilishi wa Waziri” alisema Mgendi Makanyaga ambaye ni M,wenyekiti wa Kitongoji cha manyamanyama shuleni.
Aidha Mwenyekiti wa mamlaka ya mji huo Pastory Ncheye alieleza baraza la mji huo ambalo lilikutana jana kwa ajili ya kujadili tatizo hilo kuwa Mkuu wa Wilaya hiyo Francis Isack amejaribu kumuita mkurungenzi huyo zaidi ya mara tatu ili watatue mgogoro huo lakini imeshindikana.
Baada ya kutolewa majibu hayo wajumbe wa baraza hilo walicharuka na kumtaka mwenyekiti huyo ambaye pia ni Meya wa Mji aende kumwita DC ili aje kueleza mwenyewe baraza hilo kwanini mkurugenzi anakatalia ruzuku yao hali ambayo inawafanya uendashaji kuwa mgumu huku wakiambulia Posho ya 20,000 badala ya 40,000.


Hata hivyo baada ya Meya kumfuata Mkuu wa Wilaya ofisini kwake, ali mkuta akiendelea na kikao cha kamati ya siasa ambapo alijibiwa kuwa bado anasubiri majibu ya Mkurungezi.
“wajumbe mlinituma kwa mkuu wa wilaya ili aje kuwaeleza alipofikia na mkurungenzi lakini ameniambia hawezi kuja na majibu ya blaa blaaaa anamsubiri mkurugenzi amlitee majibu wakati huo anaanda majibu kamili kulingana na hatua alizochukua kama DC”alisema Ncheye
Baada ya majibu hayo wajumbe wao walilamika huku wengine wakidai kuwa wamekuwa wakiambulia posho ndogo ya shilingi 20000 wakati walisatahili kulipwa 40000 lakini mkurugenzi amekatalia mapato yao ya Mwaka Mzima.


Ofisa Mtendaji wa mji huo (TEO)William Mabanga alisema kuwa serikali inapatia mji huo shilingi Milioni 82 kwa mwaka sawa na Milioni 6.8 kila mwezi ambazo hupitia ofisi ya DED.
lakini katika kipindi cha Mwaka wote uliopita wameambulia milioni 22 tu huku DED akidai kuwa mamlaka ya mji huo haina Kasma hazina.


Aidha Mabaga alisema kuwa baadhi ya vyanzo vya mapato walivyokuwa wanategemea vimebinafsishwa kwa watu binafsi na mkurugenzi amekuwa akikataa kuwapa Milioni 8 kila mwezi ambazo aliingia mkataba wa kisheria na wakandarasi hao kwasababu kiutaratibu yeye ndiye anbapaswa kusainimakubaliano yoyote.
Akifunga kikao hicho Mwenyekiti Ncheye alisema kuwa wanampa wiki moja kuanzia sasa mkurungezi huyo ili waone kama hatawapatia ruzuku hiyo watafikiria hatua ya kumchukulia.
Mkurugenzi huyo hakuweza kupatikana ili kujibu madai hayo baada ya kudaiwa kuwa yupo nje ya ofisi kikazi.

Wednesday, August 11, 2010

WAHAMISHWA TENA
Walemavu ambao wanafanya biashara ndogo ndogo walioamishwa  mtaa wa lumumba na kwenda kuendeleza biashara zao karume karibu na ofisi za TFF sasa wametakiwa kubomoa mabanda yao na kuhamia  katika eneo la machinga complex.

Katika pita pita yangu nilikutana na mfanya biashara mmoja aliyekuwa analalamika usumbufu wanaoupata na kuhamishwa mara kwa mara.pia sehemu waliopewa ndani ya eneo lao jipya kuwa ni dogo sana mana wengi wao walikuwa wanatumia banda mmoja watu 6 na pia wana biashara kubwa ambayo haiwezi kutosha ndani ya vibanda vya wavu ambavyo wamepewa.

mfanyabiashara mwingine alisema"Hawa jamaa kweli wanatutesa na  ukiangalia kodi ya 60000 kwa mwezi ni nyingi sana mana kaeneo kenyewe ni kadogo sana "
Vibarua wakiendela na kazi ya kubomoa mabanda



Mwana mama akiendelea kuokota mabaki ya vitu vyake baada ya banada lake kubomolewa na vibarua wake.





Gari kama mnavyoliona  likiwa linasomba uchafu
WWE SummerSlam
John Cena, Randy Orton, Rey Mysterio, and all your favourite WWE Superstars will battle for WWE gold and glory at SummerSlam,
Mie sitii neno

Tuesday, August 10, 2010

Young Jeezy Fires Shots At Rick Ross On His Own Jawn: “Got Dayyumm Hoe… You Got Them A$$ And T*ttays!!!”



Young Jeezy is playing chess with Rick Ross and he’s about to checkmate that azz!!! He has taken the beat from Rick Ross’ latest jawn “B.M.F.” and it sounds like he is going all the way in on Rick Ross. It’s no secret that Young Jeezy use to roll with the infamous group B.M.F. and even though Big Meech didn’t have a problem with the song… Young Jeezy Did!!!
HAYA  NDIO MAMBO YA LIL KIM NA JUMA NATURE A.K.A KIROBOTO SII MCHEZO  BONGO MPAKA KWA OBAMA OYEEEEE 

Haya ndio mambo yaliojiri kwenye show ya kujipangusa  na mwana dada lil kim.