Monday, May 25, 2009

MISS TANGA UYOO,


Ijumaa usiku Rachel Mlaki alifanikiwa kujinyakulia taji la Miss Tanga City Center 2009, mashindano hayo yalifanyika kwenye ukumbi wa Swimming Club maeneo ya Raskazoni jijini Tanga MC alikuwa Antonio Nugas kutoka Clods FM na burudani tosha ilimwagwa na Hemed kutoka Tusker Project Fame pamoja na mtu mzima Cassim ndani ya bongo5.com

No comments:

Post a Comment