Miss kigamboni ya ng'alishwa na bongo5 wadau wapenzi na mashabiki wa ulibwende hawa ni kati ya warembo watakao shiriki katika kusaka Miss kigamboni na hapa mnavyo waona walikuwa katika mazoezi katika ukumbi wa sanaa pub mwaka huu washiriki wa umiss wamejitokeza kwa wingi na wengine wameruhusiwa na wazazi wao kuweza kuifanya umiss wa mwaka huu kuwa na warembo waukweli ,
WAZIRI WA ULINZI AIPONGEZA JKT NA JWTZ KUIMARISHA ULINZI NA USALAMA NCHINI
-
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt. Rhimo Nyansaho,
amewapongeza viongozi wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Jeshi la Ulinzi
la Wananc...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment