Level za Rock sasa - Suma Lee
Msanii wa muziki wa kizazi kipya mmoja wa waliokuwa wanaunda kundi la Park Lane Suma Lee amedhihirisha ya kuwa bado yupo kwenye game ingawa alikuwa kimya kwa muda mrefu kwa kauchia nyimbo mpya inayokwenda kwa jina la "She Driving Me Crazy". Akichonga na Dar411 Suma Lee alisema aliwaachia wasikilizaji wachague jina la wimbo na hilo jina ndio wamependekeza. "Ngoma hii hivyo....
RUTO ATOA WITO KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI,ASEMA MIPAKA ISIWE KIKWAZO:
-
Na Janeth Raphael MichuziTv - Bungeni Dodoma
Rais wa Kenya, William Ruto, ametoa wito mzito kwa nchi wanachama wa
Jumuiya ya Afrika Mashariki kuharakish...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment