Level za Rock sasa - Suma Lee
Msanii wa muziki wa kizazi kipya mmoja wa waliokuwa wanaunda kundi la Park Lane Suma Lee amedhihirisha ya kuwa bado yupo kwenye game ingawa alikuwa kimya kwa muda mrefu kwa kauchia nyimbo mpya inayokwenda kwa jina la "She Driving Me Crazy". Akichonga na Dar411 Suma Lee alisema aliwaachia wasikilizaji wachague jina la wimbo na hilo jina ndio wamependekeza. "Ngoma hii hivyo....
RAIS SAMIA AZINDUA MKAKATI WA TAIFA WA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizindua
Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kwenye hafla
iliyofa...
19 minutes ago
No comments:
Post a Comment