Habari zilizotufikia hivi Punde zinasema aliyekuwa mume wa Mbunge wa Viti maalumu Amina Chifupa na mfanyabiashara maarufu nchini, Mohamed Mpakanjia a.k.a Medy amefariki muda mchache uliopita kwenye hospital ya Lugalo Jeshini. Habari zaidi zinasema Mpakanjia alizidiwa jana usiku katika Hosipitali ya Dr Masawe Temeke ambako alikimbizwa kwa kupata uduma ya kwanza mpaka mautiyalipo mkuta Mungu alilaze pema Roho ya Marehemu.
KANALI MTAMBI NA MKAKATI WA KUKOMESHA UVAMIZI MGODI WA NORTH MARA
-
Na Mwandishi wetu.
SERIKALI mkoani Mara ipo katika hatua za mwisho za kuanza utekelezaji wa
mkakati mahsusi wa kukomesha matukio ya uvamizi wa mgodi wa Nor...
48 minutes ago
No comments:
Post a Comment