Weekend out photoz ni kutoka Machozi Band ambayo iliwasha moto kwenye sikukuu ya Eid pia Machozi Band iliweza kumualika Msanii machachali Banza Stoni aliwarusha mashabiki wa Machozi kwa nyimbo yake ya ( mtaji wa masikini ) kama unavyoona mdau kwenye hizi picha.
RUTO ATOA WITO KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI,ASEMA MIPAKA ISIWE KIKWAZO:
-
Na Janeth Raphael MichuziTv - Bungeni Dodoma
Rais wa Kenya, William Ruto, ametoa wito mzito kwa nchi wanachama wa
Jumuiya ya Afrika Mashariki kuharakish...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment