Wadu nimewawekea kipande cha movie ya THE A TEAM muone jinsi Kiswahili kinavyozidi kukata mbuga kwenye nchi za wenzetu.Pia kwa Yule ambaye anapenda kuangalia movie aitafute hii mana ni nzuri sana na ina action za kutosha tu.
MWENYEKITI WA WAZAZI TAIFA AWAASA VIONGOZI WA CCM NA JUMUIYA ZSKE KUTATUA
MIGOGORO YA ARDHI
-
Na Victor Masangu, Kibaha
Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi Taifa Ndg. Fadhili Maganya amewaasa
viongozi wa chama cha mapinduzi (CCM) ngazi za Wilaya p...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment