Mgombea Mwenza wa urais kupitia tiketi ya CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akisalimiana na aliyekuwa Kada Machachari wa CCM, Hussein Bashe, wakati walipokutana hivi karibuni mjini Bagamoyo. Dk. Bilal alisihi Bashe kuwa mvumilivu na kuwa na subira kama ambavyo amekuwa yeye kwa kipindi kirefu hadi fikia kuteuliwa kuwa mgombea Mwenza. Picha na Muhidin Sufiani
STANDARD CHARTERED YAANDAA TUKIO MAALUM LA KUTAZAMA MECHI KWA KLABU YA
MASHABIKI WA LFC NA WATEJA WAKE
-
Standard Chartered Tanzania iliandaa tukio maalum la kutazama mubashara
mechi iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa ya Ligi Kuu England kati ya
Liverpool ...
4 minutes ago
No comments:
Post a Comment