Enzi hizo
Enzi hizo za utoto we2 tulikuwa tunaokota hela sana,lkn sasa hivi imekuwa vigumu sana.wewe unafikiri ni kwa sababu gani???
A)Ugumu wa maisha
B)Watu wamekuwa makini na bahili sana
C)Ukitembea na tochi na huku unaangalia chini utapata tu kama zamani
D)wa2 wengi wanavaa majinsi
E) Hakuna jibu sahihi.(Weka jibu lako mdau)
...
Swali kutoka kwa mdau Abdillah. D. Nkya
Woman left traumatised by swinging says website 'facilitated abuse'
-
She wants to warn others after her husband pressured her into sex she did
not want, she says.
16 minutes ago
No comments:
Post a Comment