Jumanne hii na nyingine zinazokuja wakali wote tunakutana pale KATI Billcanas kwenye usiku wa studio 2 live ambapo TID & Topband wanapasuka vizuri kabisa kuanzia saa 4 usiku,Kiingilio mguu yako acha Buku 5(5000) tu mlangoni
MWENYEKITI WA WAZAZI TAIFA AWAASA VIONGOZI WA CCM NA JUMUIYA ZSKE KUTATUA
MIGOGORO YA ARDHI
-
Na Victor Masangu, Kibaha
Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi Taifa Ndg. Fadhili Maganya amewaasa
viongozi wa chama cha mapinduzi (CCM) ngazi za Wilaya p...
6 hours ago

No comments:
Post a Comment