Friday, October 29, 2010

Sembuse wewe? 31th oct Tukapige kura
Kama wazee hawa walithubutu kusimama kwenye msururu mrefu hivi ili wapige kura, itakushinda nini wewe baba,wewe mama,wewe kaka,wewe dada wewe kijana,kusimama foleni na kupiga kura shimeshimee watanzania tukapige kura,mabadiliko yataletwa na kura yako.katika picha hapo juu wa nne kushoto ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiwa kwenye foleni ya kupiga kura

No comments:

Post a Comment