Wednesday, May 27, 2009


Mike decided to marry his baby moms. We assume its because she’s helping him grieve the loss of his daughter or maybe she’s the only person who will deal with his drama Retired boxing legend MIKE TYSON has married his girlfriend LAKIHA SPICER in a secret Las Vegas ceremony, according to online reports. Tyson and Spicer took out a marriage license in Las Vegas on Saturday (06Jun09) and the couple married later that evening at the La Bella Wedding Chapel in the Las Vegas Hilton, according to RadarOnline.com. Spicer has been helping Tyson grieve since the tragic accidental death of his four-year-old daughter Exodus just two weeks ago. Little Exodus’ seven-year-old brother raised the alarm when he found his sister unconscious and hanging from a power cable attached to gym equipment on 25 May (09), at the tot’s home in Phoenix, Arizona. She was rushed to hospital and put on life support, but died the next day. Tyson shares the two children with his second wife Monica Turner. He has five other children from other relationships.

MGUU BANDIA .


Mtaalamu wa tibamaungo wa Kituo cha Tiba cha Kijeshi cha Walter Reedy jijini Washington, DC, Marekani, Annette Bergenon, akimwonyesha Rais Jakaya Kikwete jinsi mguu bandia unavyofanya kazi, wakati Rais alipotembelea kituo hicho hivi karibuni.Wanaoshuhudia kushoto, ni Dk. Mohamed Janabi wa Chuo Kikuu cha Afya na Tiba Muhimbili (MUCHS) na Waziri wa Kazi, Vijana,Wanawake na Watoto wa Zanzibar, Asha Juma, ambao walikuwa katika msafara wa Rais Marekani.

Tuesday, May 26, 2009

NANI ATA NYAKUA TAJI LA MISS KIGAMBONI,





Miss kigamboni ya ng'alishwa na bongo5 wadau wapenzi na mashabiki wa ulibwende hawa ni kati ya warembo watakao shiriki katika kusaka Miss kigamboni na hapa mnavyo waona walikuwa katika mazoezi katika ukumbi wa sanaa pub mwaka huu washiriki wa umiss wamejitokeza kwa wingi na wengine wameruhusiwa na wazazi wao kuweza kuifanya umiss wa mwaka huu kuwa na warembo waukweli ,

HAPATOSHI........




Mwaka huu video za bongo zinazo bamba kimataifa kati YA Cpwaa na Black Rhino ndio wasanii wa bongo ambao video zao zina bamba CPWAA PROBREMS video inabamba MTV, BLACK RHINO yee anabamba kwenye Televisheni za Channel O sasa kati ya hawa wawili nani ataibuka na tuzo za video bora kati ya MTV na CHANNEL O,

Monday, May 25, 2009

MISS TANGA UYOO,


Ijumaa usiku Rachel Mlaki alifanikiwa kujinyakulia taji la Miss Tanga City Center 2009, mashindano hayo yalifanyika kwenye ukumbi wa Swimming Club maeneo ya Raskazoni jijini Tanga MC alikuwa Antonio Nugas kutoka Clods FM na burudani tosha ilimwagwa na Hemed kutoka Tusker Project Fame pamoja na mtu mzima Cassim ndani ya bongo5.com

Sunday, May 24, 2009


USAFIRI WA DALADALA BONGO KAMA VITA,

Hili swali lausafiri kuwaka vita hapabongo limetolewa na mdau wa mbagala, anasema kwamba kilasiku kukicha lazima agombanie usafiri. na atamara nyingine unakuta anapigana na abiria mwenzake kwajili ya kugombania kiti ! pia viongozi wanao usika na swala la usafiri awajaweza kionyesha msimamo kama viongozi wa kenya, juu ya swala la usafi bora kwa kila raia wezetu kenya raia awaruhusiwi kusimama kwenye daladala na raia ukikutwa umesimama au aujafunga mkanda kwanza unapigwa faini ya hapohapo na asikali wa usalama . kwahiyo unakuta raia wenyewe wanaogapa kusimama chakushanga za hapa dar asikari wanaona abiria wamejaa kwenye gari wao wanangalia tu wanaona sawa, sheria yenye msimamo iwekwe akuna kusimama kwenye daladala na lazima abiria ufunge mkanda,......

Friday, May 22, 2009

MANDALIZI YA KITOWEO CHA NYOKA<











Wadau wakiendelea kuandaa mboga katika machinjio ya nyoka huko china lakini sio nyoka pekeyake kwambali apo naona kuna jamaa amemkanyagia kenge! akichuna inasemekana biashara ya ngozi ya nyoka ninzuri na inafaida ya kutosha duniani haya wa Tanzania kazi kwenu ajira ya burebure misitu tunayo nyoka tunao wengiii sizani kama tutawamaliza ,

Saturday, May 16, 2009

PRESIDENT KKWETE MEETS WITH PRESIDENT OBAMA,




President Jakaya Kikwete akiwa na President Obama, Tanzania yakutakia kiraheri President kikwete. katika mazumzo yako na President Obama ,

P.N .C MBONA KIMYA



Mdau wa Arusha anaomba habari zaidi juu ya msanii p n c kuwakimya mdamrefu kwenye game hili la bongo flava mshabiki Ally anashangaa zaidi nini kinasababisha wasanii hawa kupotea baada ya kupata chat tuu,


P - FUNK ASEMA SIO KWELI,


Producer maarufu na mmiliki wa studio za Bongo Records P-Funk aka Majani ameibuka na kukanusha habari zilizozagaa mtaani siku za hivi karibuni kuwa ameacha kusimamia wasanii wake wa siku nyingi Ferooz wa Daz Nunda na Juma Nature

Friday, May 15, 2009

NIZAR KHALFAN KUICHEZEA TOTTENHAM,

Nizar khalfan kunauwezekano wa mchezaji huyu kucheza soka katika club ya soka ya Tottenham. Nizar ni mmoja wa wachezaji mahirisana katika timu ya taifa stars na hiiyote nijuhudi za Rais wetu Jakaya Mrisho kikwete kwa kuwezesha soka letu kusonga kimataifa,



HAYA WADU MAFUA YATAISHA KWA STAILI HII YA MTOTO NA MYAMA HUYU?

CAIRO — Egypt began slaughtering the roughly 300,000 pigs in the country Wednesday as a precaution against swine flu even though no cases have been reported here, infuriating farmers who blocked streets and stoned vehicles of Health Ministry workers who came to carry out the government’s order. The measure was a stark expression of the panic the deadly outbreak is spreading around the world, especially in poor countries with weak public health systems. Egypt responded similarly a few years ago to an outbreak of bird flu, which is endemic to the country and has killed two dozen people.

VITA MBAYA JAMANI ?


Amakweli vita mbaya sana jioneni wanadamu wanavyo teseka kama wanyama, hii yote ni kwajili ya viongozi wanao gombania uongozi waongangania madaraka. wanasababisha vita kama sisi tunaamani tujitahidi tuwasaidie wasio na amani nihayo tu toka nipehabari,

Thursday, May 14, 2009


CHOMBEZO LA ADAM LUSEKELO

Tanzania watawala kibao - viongozi kau

Hivi majuzi Waziri Mkuu, Braza Mizengo Pinda alisema kuwa nchi inahitaji viongozi wasukuma maendeleo ambao wanakerwa na matatizo ya wananchi, badala ya watawala.

Braza Pinda alitoa kauli hiyo wakati akizungumza na watawala wanaojiita viongozi na wawakilishi wa sekta mbalimbali za jamii wakiwamo wa dini katika halmashauri za Kasulu na Kibondo mkoani Kigoma.

Alisema kuwa anakerwa na watendaji ambao wanakaa ofisini bila ya kuwafuata wananchi na kuwastua juu ya fursa zilizopo, ambazo zinaweza kuwainua kiuchumi.

Sisi wananchi tunajua fika kuwa sasa hivi kuna makatuni lukuki ambao wanajifanya ni viongozi, utafikiria uongozi ni kazi rahisi! Wengi wanakuwa kama watoto vile, kupoteza muda mwingi kutafuta midoli ya kuchezea, kama magari ya kifahari na kujikita katika mbwembwe mpaka wanatia huruma.

Nasema hivyo, kwa kuwa nina mifano mingi, hasa nje ya jiji la Dar es Salaam. Ukienda huko mikoani na wilayani, utaona watu wanasimama eti pale mkuu wa wilaya au mkoa anapoingia baa. Mimi naona uchizi huo; usiniambie ni heshima kwa mkuu. Ni uoga tu usiokuwa na msingi!

Lakini huwezi kumlaumu mtawala huyo sana. Wa kulaumiwa pia ni wananchi wanaofanya hivyo. Kumtukuza binadamu mwenzio kana kwamba yu Mungu-mtu kuna hatari sana. Baada ya muda, yawezekana akaanza kuamini kuwa yeye kweli ni mungu mtu, wa kupapatikiwa na kila mtu!

Mtawala mmoja, yeye ni waziri na ushahidi ninao, alikuwa anawasili mjini Dar es Salaam kwa ndege. Sasa dereva wake alikuja kumpokea kiwanja cha ndege. Dareva huyo aliacha shangingi la mkuu, likinguruma ili kiyoyozi ndani ya shangingi hilo kiendelee kufanya kazi!

Gari tupu, hamna mtu ndani, linanguruma kumngoja waziri ambaye ndege aliyokuwa amepanda hata haujatua. Dereva wa gari hiyo alikuwa amesimama pembeni na mwenye sura kama aliyekuwa anamngoja Mwenyezi Mungu mwenyewe afike.

Ni dhahiri kuwa dereva huyo alikuwa anafanya hivyo kwa amri ya mkuu. Waziri huyo anajiita profesa, lakini kwangu mimi ni katuni limbukeni tu. Ni dhahiri kuwa shule yake haikumsaidia sana. Angekuwa analipia mafuta ya gari hilo kutoka mfukoni mwake angethubutu kuamuru libaki bila kuzimwa muda wote?

Kwan nchi masikini kama yetu, kule tu kuwa na mashangingi, ni matusi kwa wananchi. Kuna magari mengi yanayoweza kufanya kazi ya mashangingi. Kwa kukubali ukatuni huyo, serikali inatueleza kwa vitendo, bila kusema, inavyotufikiria sisi wananchi. Unaenda baa na watoto wako hawajala!

Pia kuna uonezi kibao mikoani. Braza Pinda, angepitisha upekuzi wa kimya-kimya huko na kuona jinsi watu wanavyoonewa. Inakuwaje mkuu wa mkoa au wa wilaya awe na utajiri mkubwa ghafla mara tu baada ya kutinga katika kituo chake?

Kwa mfano, katika mkoa fulani wa kusini mwa Jamhuri yetu, watu walistukia ghafla mkuu wa mkoa huo tayari ana maelfu ya ekari, na analima ngano! Wakati wa kuvuna alikuwa akibeba ngano hiyo kutumia magari ya serikali. Sasa hivi ni milionea na hana wasiwasi. Lakini maelfu ya eka za mashamba ya ngano katoa wapi kama siyo kutumia ofisi yake vibaya?

Sasa, kama mkuu wa wilaya na afisa kilimo na kila ka-jiofisa, wote watafanya hivyo hivyo, si ndiyo basi, nchi inakuwa haina viongozi tena, bali watawala? Matatizo yetu Waafrika ni kuwa, tunajaribu sana kukimbia zile tembe za nyasi tulizokulia. Gari moja halitoshi, labda manne, ya nguvu! Nyumba moja ya kawaida haitoshi, mpaka liwe hekalu. Sasa, hiyo si njaa tena, bali uroho!

Kiongozi anatakiwa kuongoza, ili sisi wengine na watoto wetu tuige mfano wao. Wananchi hawawezi kuiga mfano wa watu waroho. Hao siyo viongozi. Hao ni watawala wa kudharauliwa na kuonewa huruma kwani matatizo yao ni ya kisaikolojia!

Wednesday, May 13, 2009

TANZANIA YA KABIDHIWA VIFAA VYA KIJESHI!




Mkuu wa komandi ya Afrika jenerali William kutoka Marekani akisalimiana na kiongozi wa kikosi cha Tanzania wakati wa kikabidhi vifaa vya kijeshi apojana kajili ya kwenda kulinda amani sudan, twawatakia kilalaheri wanjeshi wa Tanznia mrudi salama ,

Saturday, May 9, 2009

DK ALI MOHAMED SHEIN NA MGENI WAKE!

Makamu wa Rais Dk Ali Mohamed Shein, katikati akiwa na Makamu wa Rais wa Iran Parvis Davoodi wakiwa pungia mikono wananchi kwenye viwanja vya karimjee apo jana.


JE? MABOMU YAMEISHA AU LAA!
Wakazi wambagala awajamini kama masalia yote ya mabomu! yameteketweza kutokana bomu la mkono liliolipuka hapo jana jioni , juhudi za kuwasaidia walio pata mkasahuo bado selekali inaendelea kutoa msaada kwa kila mmoja pia kuna makapuni mbalimbali yamejitokeza kutoa msaada pia .

CPWAA PROBLEM VIDEO PIC,


Nipe habari leo imefanya maojiano na msanii cpwaa a.k.a cp hivi sasa cp kazizake zinafanya vizuri dani ya East Afrika na kimataifa kiujumla cp hivi sasa leongo lake nikufanya mziki na wasanii wa kimataifa,



Thursday, May 7, 2009

TAIFA STARS FRIENDLY MATCH DRC ,



Nipe habari leo Maxio aendelea kunoa timu ya Taifa vilivyo kuikabili DRC imeibuka idedea baada ya kutupa panado 2-0 katika Friendly match maxio anasema DRC niwazuri pia kinatakiwa nikucheza mpira wa nguvu zaidi kuweza kuwakabili vijanaao congo,

Friday, April 24, 2009


RUKA KWELI PAMBA WASILIANASI +255717749581

New Tops nazo bei moja na tshirt Ruka in tanazania vaa pamba za kijanja kwa sh/=15000 karibuni wote..
New tshirt Ruka in tanazania vaa pamba za kijanja kwa sh/=15000 karibuni wote..
New tshirt Ruka in tanazania vaa pamba za kijanja kwa sh/=15000 karibuni wote..





New tshirt Ruka in tanazania vaa pamba za kijanja kwa sh/=15000 karibuni wote..
Nakaaya awalaumu Fid Q Klynn
Nakaaya awalaumu Fid Q na Klynn
Inasemekana kwamba mwanadada Nakaaya amekerwa sana na kitendo cha wasanii wawili kutomuonesha ushirikiano katika kazi. Habari zinasemea kuwa Nakaaya aliwaomba wasanii wengi wakali wajitokeze studio wakati wa kurecord wimbo wake wa 'I am an African' na kuingiza sauti zao katika ngoma hiyo, lakini Fid Q na K-Lyinn walishindwa kutokea

Wimbo umekamilika bila ya sauti zao na video pia ipo tayari, waliyoshirikishwa katika ngoma hiyo ni Chidi Beenz, Lufunyo na wengine.


Kwa upande mwingine Fid Q aliteta na DJ Fetty wa Clouds FM na kumuambia "Nakaaya alinipigia simu mida ya mchana na kuniambia niende studio saa hiyo, ndio nikamwambia angeniambia mapema maana nilikua mjini na mihangaiko mingine na nisingeweza kufika studio saa hiyo hiyo aliyonipigia simu. Unajua Fetty mi hayo mambo nilishaacha zamani nikajirekebisha nisengependa kurudi huko. Hata kama ni wewe Fetty mtu anakupigia simu saa hiyo hiyo anataka uende studio hautaweza kweli kwasababu tayari unakuwa na mipango yako kichwani. Angeniambia kabla ningeenda, kwanini nikatae?!".

Kama hayo ni kweli, hatuoni sababu ya kujenga chuki kwa vile ni mambo ambayo yanatokea...wasanii wetu waendelee kufanya kazi kwa moyo mmoja.
Uwanja wa Taifa huenda ukafungwa



Uwanja wa Taifa huenda ikafungwa
Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo imesema huenda ikalazimika kusimamisha matumizi ya Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam hadi pale atakapopatika mzabuni wa kuuendesha

Akizungumza katika mahojiano maalum na Mwananchi jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Dk Florens Turuka alisema kuwa uamuzi huo unaweza kufikiwa kutokana na serikali kutumia gharama kubwa za uendeshaji wake tofauti na mapato yanayoingia.

"Tunaweza kusimamisha kabisa matumizi ya Uwanja wa Taifa mpaka hapo mzabuni atakapopatikana, hii inatokana na serikali kutumia fedha nyingi za uendeshaji wake huku mapato yanayopatikana hayatoshelezi,"alisema.

Alisema kuwa wizara yake inashangazwa na mapato kidogo yanapopatikana uwanjani hapo licha ya mashabiki wengi kuonekana kuhudhuria mechi hali inayowapa wasiwasi kuwa huenda kuna namna fulani ya hujuma inayofanyika kwa manufaa ya watu wachache.

"Unajua kuona ripoti ya mahudhurio ya watu ikiwa juu halafu mapato yanayopatikana ni madogo, hilo linatupa wasiwasi labda kuna hujuma fulani inayofanyika na ndio maana tunataka apatikane mzabuni tutakayemkabidhi mamlaka ya kusimamia ili uwanja uwe ni kwa faida ya umma na si watu wachache,"alisema Dk Turuka.

Dk Turuka alisema kuwa kinachosubiriwa kwa sasa ni kumalizika kwa muda wa zabuni iliyotangazwa ili waweze kupitia majina ya waombaji na kuangalia sifa zinazotakiwa kabla ya kumtangaza aliyeshinda.

Katika hatua nyingine, DkTuruka alisema kuwa leo anatarajia kuutembelea uwanja huo ili kuangalia kama kuna kasoro yoyote ili ziweze kurekebishwa.


Tuesday, January 27, 2009

Makasi: Ivory Coast njia ya kwenda Ulaya















Profesa Jay: Wanaoua albino ni hatari kuliko mafisadi wa EPA na Richmond,

MSANII mkongwe wa miondoko ya hip hop nchini, Profesa Jay ametangaza kuuanza mwaka 2009 kwa kuingia kwenye vita dhidi ya mauaji ya Watanzania wenye ulemavu wa ngozi Albino?

Profesa Jay ambaye jina lake halisi ni Joseph Haule ameiambia Mwanaspoti kwamba, pamoja na ukatili huo kuonekana ni kama filamu au hadithi kwa watu wengine hapa nchini.


Anaamini Tanzania imekuwa ikiingia katika aibu kubwa kimataifa kutokana na suala hilo na kupoteza sifa ya Tanzania kwamba ni nchi ya amani.


?Wako ambao wanaamini hakuna Mtanzania leo anaweza kushika kisu akadhubutu hata kumchoma mwenzake, yote hiyo kwa kuwa wanajua sifa ya nchi hii kuwa ni ya amani. Sasa leo inawezekana vipi kuwepo na watu ambao wanaua watu kwa kuwakata viungo wakiwa hai.


?Mimi siamini kama kuna mtu anajaribu kufumba macho na kujaribu kuyafikiria maumivu ambayo wanapata Watanzania wenzetu ambao wanaishi maisha ya kukimbia na kubahatisha kama vile ni wahalifu tena hatari.


Unaamka asubuhi unaona kwenye BBC na CNN eti Tanzania inajadiliwa kwa suala hilo, tena ni nchi pekee duniani.


?Sidhani kama serikali imetumia nguvu zake zote kupambana na hili suala kama ilivyofanya kwa mengine. Kuna adhabu ya kifo, hiyo ndio inastahili kuwa ya wale watakaopatikana na hatia kwa kuwaua Albino, huu ni ukatili wa hali ya juu.


?Najua nchi kadhaa zimekuwa zikipiga vita adhabu ya kifo, lakini leo angalia katika hali hiyo unafikiri mtu wa namna hiyo anastahili adhabu nyingine ipi.


Tumeelezwa kwamba wahusika wakuu ni vigogo na wengine wako serikalini. Naamini kabisa inawezekana kuwatia nguvuni na inaonyesha kwamba ugumu wa mambo unatokana na wengi kuwa na uwezo mkubwa wa kifedha.


?Tunajua kuna viongozi wana imani za kishirikina na hili ndio tatizo la mauaji ya Albino, kama tunasikia mkono tu wa Albino unaweza kuuzwa kwa zaidi ya Sh milioni 10 hauoni hizi ni dalili kwamba suala hili linahusika sana watu wenye uwezo mkubwa wa kifedha.


Watakuwa kina nani zaidi ya vigogo?* anahoji Profezsa Jay. *Nadhubutu kusema suala hili ni hatari na linakiuka haki za binadamu kupindukia, hauwezi hata kuliringanisha na sakata la EPA na Richmond.

Wauaji tuko nao, sababu ipi inafanya tusiwapate na kuwatia nguvuni na kumaliza hili.? Anaendelea, ?Mimi nitatoa mchango wangu, nimesikia wasanii kadhaa wameimba kuhusu suala hili, hivi karibuni nitaingia studio kuimba kuhusu hilo nitasisitiza vita kubwa dhidi ya hili.


Sitasita kuimba kwa kuwa wengine wameshafanya hivyo kwa kuwa najua mapokeo ya sauti ya kila msanii kwa mashabiki ni tofauti, huu utakuwa ni mchango wangu,? anasema.


Akizungumzia kuhusu suala la matayarisho na mpangilio wa kazi zake kwa mwaka 2009, Profesa Jay alisema hip hop ina heshima kubwa tofauti na inavyochukuliwa hapa nyumbani na anataka kubaki msitari wa mbele kuwaongoza wasanii wengine kulinda na kuiendeleza heshima.


?Kingine ni kupata sapoti kutoka serikalini na mashabiki wenyewe ambao siku zote ninasema kuwa wao ndio wenye muziki. Kama ninaimba kwa ajili ya watu fulani basi ni mashabiki wangu, wasiponiunga mkono wao nani atafanya hivyo?


?Nilikuwa Nigeria katika tuzo za MTV, zilifanyika Novemba 22, 2008 katika mji wa Abuja. Huwezi kuamini ni tuzo tatu kati ya zaidi ya 20 ndio zilitoka nje ya Nigeria kwa kuwa mashabiki wao waliungana na kuwapigia kura wasanii wao hadi wakawazidi hata Wamarekani na kuzitwaa zote, huo ni mfano na chamgamoto kwa mashabiki wa hapa nyumbani na wanatakiwa kuiga.


?Hakuna haja ya kusema wewe ni shabiki wa Profesa Jay, kama Jaydee au Mwana FA ameingia kwenye kinyang ?anyiro cha kimataifa basi huo ni Utanzania. Tunamuunga mkono kwa pamoja, katika MTV nilikuwa nawania tuzo ya msanii bora wa hip hop nikichuana na wasanii wawili wa Marekani, Lil Wayne na The Game, pia Mnigeria Nice aliyeshinda na Msauzi, HHP.


?Wanigeria hadi mawaziri walipiga kampeni wasanii wao waungwe mkono na mashabiki lakini hapa nyumbani niliondoka kama yatima ingawa nilikuwa anaenda kuliwakilisha taifa nikichuano na watu wa mataifa makubwa. Utaona Mamis wakiwa wanaenda kushiriki mashindano wanakabidhiwa bendera, vipi wasanii mbona haiwi hivyo. Kuna haja ya mabadiliko kadhaa yafanyike na serikali iingie huku na kusaidia,? anasema Profesa Jay akisisitiza kwa mikono.



Profesa Jay aliyeibuka msanii bora wa kiume wa Tanzania katika tuzo za PAM za Uganda huku Jaydee akiwa bora wa kike anaisisitiza kwamba changamoto kwa serikali na mashabiki kuwaunga mkono wasanii.


Hata hivyo anasisitiza kwa wasanii wenzake, ?Wako wale ambao wanavimba kichwa kwa mafanikio kidogo tu, wajue wanapaswa kukubali kukosolewa ili tuweze kupiga hatua. Sisi ni binadamu, hatuwezi kuwa tunajua kila kitu. Kama unakataa kukosolewa leo, kesho wewe utawakosoa vipi wengine.?


?Lakini pia wakati mashaniki wanatuunga mkono basi wasiangelie jina la mtu au umaarufu wake, waangalie kazi na kumpa moyo yule anayefanya vema kwa kuwa inakuwa ni kwa ajili ya maendeleo ya muziki wa Tanzania,? anasema Profesa Jay maarufu kama Heavy Weight MC.


Profesa Jay alianza kuchipukia kimuziki mwishoni mwa miaka ya 1990 akiwa na kundi la Hard Blasters (HBC) akiwa na Willy na Terry na walifanikiwa kushinda ubingwa wa kundi bora la hip hop kabla ya kuweka rekodi ya kuwa kundi la kwanza la miondoko hiyo kufanya maonyesho mikoani wakitumbuiza.



















Na Saleh Ally
UKISEMA ni suala linaloumiza vichwa vya mashabiki na wadau wa muziki wa kizazi kipya sawa kabisa, ukiongeza kuwa inakatisha tamaa pia ni sawa ila hali halisi ni kwamba kundi la TMK Wanaume Family limemeguka kwa mara ya pili na kusababisha kuzaliwa kundi jingine la tatu kutoka ubavuni mwake.

Kundi la Wanaume TMK Family lililozaliwa mwaka 2004 jijini Mwanza, lilikuwa ndio kundi linaoongoza kwa kuwa na mashabiki wengi zaidi katika muziki wa kizazi kipya kabla kukumbwa na matatizo ya kujiengua kwa wasanii wake zaidi ya watano wakiongozwa na Juma Nature walioanzisha kundi jingine la Wanaume Halisi.

Meneja wa Wanaume TMK Family, Said Fella alionyesha ujasiri mkubwa kuliongoza kundi bila ya kuyumba na kufanikiwa kuendelea kufanya vema na kutoa ushindani mkubwa.

Baada ya miezi kadhaa, kundi hilo limemeguka tena baada ya wasanii wake watatu, YP , Y-Dsh na Jenebi Mbaraka �Jebby� kuamua kujiengua na kuunda kundi jipya la Temeke Unit.

Hali hiyo imesababisha kuibuka kwa maswali mengi miongoni mwa wadau wa muziki huo na kuanza kujiuliza kulikoni, je, Fela anaweza kuwa ni tatizo kubwa hadi vijana hao kuchukua uamuzi wa kusambaa kila baada ya miezi kadhaa. Lakini kuna wengine kama Mheshimiwa Temba, KR Mullah na Chegge wameendelea kudumu chini ya uongozi wa meneja huyo, tatizo ni lipi hasa?

Jebby, ambaye ameanzisha Temeke Unit akiwa na YP na Y-Dsh, pacha walioanza kujulikana baada ya juhudi kubwa za Fela kuinua vipaji vyao ameiambia Mwanaspoti kwamba kilichowandoa ndani ya Wanaume Family si ugomvi binafsi na badala yake ni suala la maslahi.

"Hakuna mwenye ugomvi binafsi na mtu, suala kubwa hapa ni maslahi. Fela ni mtu aliyesababisha kuibuka kwa makundi ndani ya kundi kutokana na kuwapendelea baadhi kwa kiasi kikubwa huku wengine wakionekana hawana kitu.

"Lakini kitu cha ajabu, wanajumuika katika kufanya shoo, malipo makubwa yanakwenda kwa Temba, Chegge na KR. Haikuwa hali nzuri kwa kuwa nakumbuka shoo moja ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaamm, Y Dash na Temba walikunjana na kutaka kupigana. Suala lilikuwa hilo hilo la maslahi.

"Katika shilingi milioni moja, walitaka wengine wagawane laki tatu tu wakati saba iende kwa wachache. Ilikuwa tafrani lakini ikaishia kwa kuwa na mabadiliko hata kidogo kwa watu kupata angalau kiwango cha juu kidogo," anasema Jebby, ambaye ndiye kiongozi wa kundi la Temeke Unit au TMK Unit.

Tayari kundi hilo limeipua singo ya ?More Fire? iliyorekodiwa jijini Kigali, Rwanda mwezi uliopita kwa kushirikiana na wasanii wa nchini humo Sister Mimi na Back T.

Singo hiyo ni maandalizi ya albamu ya kwanza ya TMK Unit itakayojulikana kwa jina la 'Kidonge' na Jebby anasema wana imani hadi mwezi Aprili itakuwa imeingia sokoni, tayari kwa walaji. Licha ya albamu, wamepanga kuzindua mavazi yao chini ya Chilu Latest Wear, maandalizi yanafanyika nchini China.

Pamoja na yote, Jebby anasema inaonekana Fela amechukizwa na kitendo cha wao kujitoa na ameanza kutuma ujumbe mfupi wa simu wenye vitisho.

"Amenitumia, anaonekana kuchukizwa na kutoa vitisho. Kwa kweli inashangaza kwa kuwa mimi binafasi sina ugomvi naye lakini nisingependa kudhulumiwa kimaslahi halafu nikae kimya kwa sababu ya nidhamu," anasema.

Mwanaspoti ilimsaka Fela, juzi Jumapili naye alikiri kwamba ni kweli alilazimika kuwalipa fedha nyingi zaidi akina Temba, Chegge na KR kwa kuwa ndio vipenzi vya mashabiki wa kundi hilo.

"Kweli nimechoka sana, wote hao (Jebby, YP na Y Dash) walikuja mikono nyuma. Walionyesha kuwa na nidhamu ya juu huku kila mmoja akitoa sababu kibao, kwamba ana shida sana na pamoja na muziki anahitaji msaada.

"Nakupa mfano wa gereji, msaidizi hata siku moja hawezi kulipwa sawa na fundi mwenyewe. Sasa inakuwaje nimlipe Y Dash sawa na Temba kweli inaingia akilini. Hata wewe ungekuwa ni kiongozi sidhani kama ungefanya hivyo.

"Naweza kusema kilichotugombanisha ni kitu cha kijinga, kuna gazeti liliwahi kuandika kwamba kuna msanii mwenzetu amelawitiwa baada ya kulewa chakari. Tulimuita msanii huyo kwenye kikao cha kundi na baada ya kufuatilia tuliona ana hatia ya utovu wa nidhamu, tukamsimamisha.

"Baada ya hapo, Y Dash akaibuka na kuanza kumsaidia huku akionyesha dharau za wazi kwa KR eti kwamba hana lolote katika mchango wa kundi. Mara kadhaa alikwaruzana na Temba, ambaye alitaka suala la heshima lichukue mkondo, KR kaanza muziki mwaka 1992. Leo ni kama nguzo ya kundi, vipi mtu kama Y Dash aonyeshe dharau wazi wazi namna ile," alihoji Fela na kuongeza.

"Kila mtu atazungumza lake, ila mimi roho inaniuma sana, Y Dash nilimtoa mitaani wakati YP alikuwa mcheza shoo kule Keko. Mimi ndiye niliwachukua na kuwaunganisha hata leo wanaishi maisha ya nafuu. Nilikuwa kama baba wa Y Dash, ambaye sasa ni yatima, dharau yao inaniumiza sana.

"Angalia, wakati wanakwenda Rwanda tuliwasiliana, walipokuwa huko walinipigia. Wamerudi wamechukua uamuzi huo na kuanza kunipaka matope.

"Nimechoka kwa kweli, kila anayekuja na hali mbaya ya maisha akiwa mikono nyuma na heshima nyingi. Akipata mafanikio kidogo ananigeuka na kusambaza sifa chafu kuhusu mimi. Nimeamua kuingia studio mwenyewe na nimekamilisha singo yangu inaitwa '2009' pale Sound Crafters. Nawazungumzia wasanii wenye tabia za unyenyekevu na baadaye dharau. Mwezi ujao itakuwa mtaani."

Alipoulizwa kama ameanza kutuma ujumbe mfupi wa vitisho kwa wasanii hao, ?Wanaweza kusema hivyo, nimetuma ujumbe kuwakumbusha mengi niliyowasaidia na jinsi nilivyowainua. Sitaki tena mambo ya namna hii, yalianza kutokea wakati wa (Juma), Nature. Leo hawa, sina hata amani nahisi tena kuna wengine pia wanakuja na watafanya hivyo,? anasema Fela maarufu kama ?Mkubwa?.

















Na Mussa Mkama

UNAPOZUNGUMZIA wachezaji makinda katika timu ya soka ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', huwezi kulikosa jina la kiungo wa Yanga, Kigi Makasi.

Licha ya kuwa si mchoyo wa pasi, Kigi ni mchezaji mwenye kipaji cha pekee, ila utampenda zaidi kutokana na mbio zake uwanjani, ujanja wa chenga na mashuti.

Huwezi kuamini ukiambiwa mchezaji huyo mwenye umbo dogo aliyekuwa akichezea Mtibwa Sugar kabla ya kutua Yanga kuwa ana umri wa miaka 18, na hilo linadhihirisha kuwa umri si jambo la muhimu zaidi ya kipaji uwanjani.

Sifa nyingine ya kuwa mpole, kuelewa mafunzo ya kocha, kasi yake uwanjani, uwezo wa kumiliki mpira na uwezo wa kukaba ilimfanya ajikute akiitwa na kocha wa Taifa Stars, Marcio Maximo katika kikosi hicho.

Kama Maximo mwenyewe ambavyo amekuwa akisema mara kwa mara kuwa mmoja ya sifa ya kumuita mchezaji katika kikosi chake ni nidhamu, hakuna shaka kuwa Kigi anafuzu kwa hilo na hasa ukizingatia kuwa anajituma wakati wote uwanjani.

Mara kadhaa amekuwa akiingia dakika za mwisho wakati Stars inacheza, lakini ndiye amekuwa akifunga magoli muhimu licha ya kucheza dakika ishirini za mwisho za mchezo. Kigi anasema malengo yake ni kucheza soka la kulipwa Ulaya na ikiwezekana awe mchezaji bora wa Ulaya jambo ambalo ameahidi kuwa linawezekana kwani awali aliiahidi kuicheza Taifa Stars na ametimiza.

Anasema umri wake bado unamruhusu kufanya makeke ya kucheza Ulaya na kwamba atazitumia fainali za Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani kuonyesha kipaji chake ili anunuliwe na mmoja ya klabu za Ulaya. Nje ya uwanja, Kigi anasema hana mpango wa kuoa mpaka lengo lake la kucheza Ulaya likamilike.

Hata hivyo amesema njia ya kwenda Ulaya sasa ni wazi kwani kufuzu kwa Stars katika fainali hizo kumefungua milango kwa mataifa makubwa yaliyoendelea kisoka kutuma wakala wao Ivory Coast kusaka wachezaji. Kigi aliyezaliwa mwaka 1990 katika kijiji cha Nalipungu mkoani Mwanza, alisoma Shule ya Msingi Nalipungu katika mkoa huo.

Mchezaji huyo alijiunga na Shule ya Sekondari ya Makongo jijini Dar es Salaam ambako alionyesha kipaji chake kilichowavutia Mtibwa Sugar aliyojiunga nayo. Kigi aliyejiunga Yanga msimu uliopita anaishi Kimara jijini Dar es Salaam ambako anadai ni rahisi kwake kujiendeleza kuliko angekuwa mkoani.

?Unajua Dar es Salaam ndio kila kitu, kipaji changu kwa mara ya kwanza kilitambulika hapa na ndipo niliposajiliwa na Mtibwa Sugar, hivyo jiji hili nalihesimu kwani ndilo lililonipa maisha na ninaamini kupitia hapa nitafika safari yangu." Mwisho ......e&p....2008/12/29
Ndani ya Mwanachi News,