Ni wazi kuwa mpaka hivi sasa tunafahamu kuwa Kaseja amefungwa goli mbili tu,yaani ni sawa nakusema kuwa Simba imefungwa jumla ya magoli hayo.Hivyo basi endapo Kaseja ataendelea na msimamo huo wa kuzuia wapinzani kutikisa nyavu za lango la Simba,patakuwa na nafasi kubwa ya kipa huyo kunyakuwa taji la kipa bora katika msimu huu.Makipa wengine wengine ambao wapo katika nafasi nzuri ni pamoja na Obren Curcovic wa Yanga,Shaaban Kado wa Mtibwa Sugar amba wote mpaka hivi sasa wamefungwa magoli matano kila mmoja.Je,wadau wenzangu mnadhani Kaseja ataibuka kifua mbele?
Funeral hears of 'unspeakable loss' of murdered mum and children
-
The Bishop of Ferns, Ger Nash, spoke of how "heartbroken" their loved ones
are at the "tragic and unspeakable loss".
1 hour ago
hakuna cha ramli wala utabiri. haihitaji kuumiza kichwa. time will tell. maneno hayatasaidia awe kipa bora ama asiwe.
ReplyDelete