Thursday, April 22, 2010


OHIO KIPINDI CHA MVUA


wait,Inamaana hili shimo halijaonekana toka wakati ule nadhani yapita miezi mingi.
Au ndio mpaka watu waharibu magari au kuvunja moguu mana kwa wale wapitao usiku kwa mambo yetu yale shimo halionekani

Huu mti uliowekwa na wasamaria wema unazuia mpaka magari kupita vizuri mana umezidi barabarani



ohhhhhhh no!! another one.


comment york



CPWAAAAAAAAA KILI MUSIC AWARD

Habari za kazi ndugu,mashabiki na marafiki zangu. Poleni kwa majukumu. Kijana wenu nimepata nafasi ya kuchaguliwa kushiriki kwenye tunzo za muziki mbalimbali Tanzania mwaka huu 2010. Naomba unipigie kura kwa kutumia maelekezo haya:
TUNZO ZA KILIMANJARO ( KILI MUSIC AWARD) 2010 :VIDEO BORA YA MWAKA Tuma neno KILI T13 kwenda namba 15723.
Au piga kura online, tembelea:
Nenda chini ya page,tafuta Video bora ya muziki ya mwaka..tiki Problem-Cpwa kisha weka email yako na bofya VOTE.
TUNZO ZA XXL ( XXL TEEN AWARDS) 2010
Video Kali ya mwaka:
Tuma neno TN F3 kwenda namba 15551 Video kali ya kucheza :
Mrembo wa mwaka kwenye Video:
Tuma neno TN C1 kweda 15551
Au piga kura online,tembelea: http://www.nipe5.com/
Kama huifahamu video ya Problem bofya hapa: http://www.youtube.com/watch?v=OXhqQY4QxvE&feature=related Asanteni sana. Pwaaaa!




MVUA ZA LEO CHUONI IFM KILAKONA MAJI PAKUPITA HOLAA:

Wadau angalieni wenyewe jinsi ubovu wa miundo mbinu ya chuo unavyo kitia aibu chuo.nadhani tunahitaji boti pale ilikuelekea mabweni ya wavulana.
ohh ohhh ohh like i said,tunahitaji boti.mana kalamu na karatasi havifai hapa


No comment.Zinduka malaria haikubaliki oopsss!!!!

Waungana sio kwamba IFM namazingira mabaya tu.ila kwenye mtatizo lazima tuongee ili parekebishwe,nadhani uongozi waangalie tena umuhimu wa kutanua miundo mbinu.


No comments:

Post a Comment