Thursday, May 6, 2010

CHELSEA OYEEEE ONGERENI SANA WAPENZI WOTE WA CHELSEA TANZANIA KWA KUPATA USHINDI WA KISHIDO NA KOMBE JUUU








Jua Cali alipotembelea NYUMBANI WATOTO WA MUNGU MAY 1ST 2010


Haya ndio manaeno ya jua cali
" I was really touched to spend time with this kids most of them wako HIV+ ni noma watu wangu lazima mushukuru Mungu for Healthy life."
nimeyapata baada ya kuwasiliana nae kwa njia ya facebook.
Kuna kikubwa cha kujifunza kwa wasanii wetu ya hapa nchini na afrika mashariki kwa ujumla,kuwakumbuka watu wenye mahitaji kama hawa mana sio pesa pekee ambayo itawafanya wawe na maisha mazuri hata ukiwapa furaha wanajiona wako duniani kama wengine




Angalia jinsi wanavyooneka kuwa na furaha kwenye nyuso zao








Hakuwa mwenyewe wa kutumbuiza hata wao walikuwa mstari wa mbele ,kama mnavyoona waugwana.













Jua kali akipata picha ya pamoja na wenyeji wake wakiwa kwenye furaha.

That's the spirit

Bro!hapa alikuwa anaweka sign yake kwenye picha ya mtoto ya kituo hiki


Kiba & T.I.D reading show funika bovuuu!!!!!!!


hapa ni wadau wakipata kumbukumbu zao kiba



TID na wadau walofika kwenye show siku hiyo


Picha ya pamoja,jamaa walitupia kistaarabu sana.big up to all


wakati ulipofika palikuwa hapatoshi jamaa walifanya show za kufa mtu na kuwaacha washabiki hoi


wakatumbuiza kwa pamoja na mambo yalikuwa hivi


Kiba akicheza na asali

kama unabisha angalia mwenyewe jinsi wadau walivyokuwa wamechenguka na show ya Kiba

No comments:

Post a Comment