Waugwana napenda kuwaambia kuwa nitakuwa nje ya mji kwa muda wa wiki hivi.Kwa hiyo nitashinda kuwapa habari na matukio mapya kwa kipindi hiki lakini nikirudi nitawawekea matukio nitakayo kutana nayo.Samahani kwa usumbufu wowote utakao jitokea .
WAAJIRI WANAOZINGATIA SHERIA ZA KAZI WAPONGEZWA
-
Na OWM-KAM, Mwanza.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Mhe. Deus
Sangu, amepongeza waajiri nchini wanaotekeleza wajibu wao k...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment