Wadau nataka angalizo lenu
Muda si mrefu nimepata sms katika simu yangu na imeshatapakaa sehemu nyingi inasomeka hivi
"Ukipigiwa simu kwa private number,au ikaandika call kwa red colour usipokee ni mionzi unaparalise na kufa.imetokea kenya watu wamekufa .wajulishe ndugu &jamaa wote"
Hii ni ukweli au ni ndio tunawekana roho juu tena?
SHULE ZA MSINGI MZERI NA SHULE YA SEKONDARI MISIMA ZAPEWA ELIMU YA
WANYAMAPORI NA UHIFADHI - HANDENI.
-
HANDENI, Tanga.
TIMU ya Wataalam kutoka Idara ya Wanyamapori na Kitengo cha Mawasiliano wa
Wizara ya Maliasili na Utalii wameendelea na zoezi la kut...
44 minutes ago
No comments:
Post a Comment