Wadau nataka angalizo lenu
Muda si mrefu nimepata sms katika simu yangu na imeshatapakaa sehemu nyingi inasomeka hivi
"Ukipigiwa simu kwa private number,au ikaandika call kwa red colour usipokee ni mionzi unaparalise na kufa.imetokea kenya watu wamekufa .wajulishe ndugu &jamaa wote"
Hii ni ukweli au ni ndio tunawekana roho juu tena?
RIDHIWANI: UTUMISHI WA UMMA UENDANE NA KASI YA TEKNOLOJIA
-
Ahimiza matumizi AI kurahisisha utoaji huduma za umma
Na. Jawadu Kinyobwa – Dar es salaam
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment