Wadau nataka angalizo lenu
Muda si mrefu nimepata sms katika simu yangu na imeshatapakaa sehemu nyingi inasomeka hivi
"Ukipigiwa simu kwa private number,au ikaandika call kwa red colour usipokee ni mionzi unaparalise na kufa.imetokea kenya watu wamekufa .wajulishe ndugu &jamaa wote"
Hii ni ukweli au ni ndio tunawekana roho juu tena?
Rafiki wa Binti wafanya kweli Afya ya Hedhi
-
Na Mwandishi Wetu, Pwani
MPANGO wa Rafiki wa Binti umezindua wimbo maalumu wa kielimu wa Afya ya
Hedhi ikiwa ni kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Afya ya...
16 minutes ago
No comments:
Post a Comment