Movie kali kuzidi zote ya wabongo na. wakenya waishio U.S.A
leo hii nipehabari inakuletea vionjo vya movie ya wa Bongo waishio Marekani na waerekani pia movie hii inajulikana kwa jina la (Baby Powder) itaziduliwa November mwaka 2009
Serikali Yawahakikishia Usalama Watanzania Walioko Israel na Iran
-
SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewahakikishia wananchi kuwa
Watanzania walioko nchini Israel na Iran wako salama, licha ya hali tete ya
usa...
8 minutes ago
I want to watch this movie so bad!!!!
ReplyDeleteHuyu ndio director wa Mac Muga, video ya Ali Kiba?
ReplyDeleteNdio, jina lake Karabani
ReplyDeleteYuko LA marekani! Kijana mambo yametulia...
ReplyDeletebro big up sana hii nibonge la movie haijawai kutokea East Afrika tunaisubiri sana ok byee
ReplyDeleteBongo stand up, finally na sisi tumo ndani kwenye hii industry!
ReplyDeleteaminia babake mwazo mwisho wabongo siimcheo kilakona lazima tukabe
ReplyDelete