Movie kali kuzidi zote ya wabongo na. wakenya waishio U.S.A
leo hii nipehabari inakuletea vionjo vya movie ya wa Bongo waishio Marekani na waerekani pia movie hii inajulikana kwa jina la (Baby Powder) itaziduliwa November mwaka 2009
COCA-COLA YASHIRIKIANA NA SERIKARI KULINDA VYANZO VYA MAJI WAMI-RUVU
-
Farida Mangube Morogoro
Kampuni ya Coca-Cola imewekeza zaidi ya Shilingi bilioni 5 katika mradi wa
kulinda na kurejesha vyanzo vya maji vya Bonde la Wami-...
20 minutes ago

I want to watch this movie so bad!!!!
ReplyDeleteHuyu ndio director wa Mac Muga, video ya Ali Kiba?
ReplyDeleteNdio, jina lake Karabani
ReplyDeleteYuko LA marekani! Kijana mambo yametulia...
ReplyDeletebro big up sana hii nibonge la movie haijawai kutokea East Afrika tunaisubiri sana ok byee
ReplyDeleteBongo stand up, finally na sisi tumo ndani kwenye hii industry!
ReplyDeleteaminia babake mwazo mwisho wabongo siimcheo kilakona lazima tukabe
ReplyDelete